Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Sometimes ni ngumu kuchora mstari katika matukio kwamba nguvu hii inaishia hapa na nguvu hii inaanzia hapa hadi pale ila matokeo ya kila kitu huwa yanakuwa wazi na kuacha kila mtu akiwaza na kujipa majibu karidi ya tathmini binafsi.
Ni vema kila jambo linalofanyika liwe kwa maslahi kwa taifa. Ni wazi nchi karibia zote zimejengwa kwa nguvu, jasho, damu na sadaka na hakuna kinachofanyika kisiwe na sababu. Mungu yupo na watu pia wapo. Popote mlipo mkalitizame hili maana Tanzania ni yetu sote na maslahi ya wachache yasiamue hatma ya wengi.
1. CK515 🔥
2. CJMW🔥
3. CMLWF🔥
4. CNPWH🔥
5. CRKW🔥
6. CRSRT20🔥
Ni vema kila jambo linalofanyika liwe kwa maslahi kwa taifa. Ni wazi nchi karibia zote zimejengwa kwa nguvu, jasho, damu na sadaka na hakuna kinachofanyika kisiwe na sababu. Mungu yupo na watu pia wapo. Popote mlipo mkalitizame hili maana Tanzania ni yetu sote na maslahi ya wachache yasiamue hatma ya wengi.
1. CK515 🔥
2. CJMW🔥
3. CMLWF🔥
4. CNPWH🔥
5. CRKW🔥
6. CRSRT20🔥