Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Dah, nimecheka sana mkuu sio kwa ubaya lakini 😂😂😂Secret service Hawa ni walinzi wa rahis...
Watu wa kawaida ila wana mafunzo ya kumlinda rahis..
Majukumu yao kumlinda rahis...
Wapo we ni mgeni na yale matamasha ambayo rahisi ana hutubia kwani..?
Uwonagi watu wamevaha suti nyeusi na miwani meusi..
Uwonagi watu wamevaa vi utambi utambi masikioni...?
Kama unawaonaga hawo ndo secretary service