Secret: Ukweli kuhusu Sadaka ya Kuchinja Wanyama na Kutoa Damu

Secret: Ukweli kuhusu Sadaka ya Kuchinja Wanyama na Kutoa Damu

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311

UTANGULIZI​

Tunaishi hapa duniani, kuna siri nyingi zipo na wale wanaoweza kuzifahamu wanapata kujua mambo ya spirituality. Ni ukweli usiopingika kuwa pamoja na Sayansi kuleta mabadiliko makubwa lakini vilevile Imani zinaleta mabadiliko makubwa zaidi. Msimamo wangu ni Imani ipo na nafasi kubwa sana katika maisha yetu, vilevile sayansi nayo ipo na nafasi katika maisha yetu

Leo ninapenda nitoe siri ambayo inawafanya watu waweze kujiunganisha na ulimwengu wa roho. Moja ya siri hizo ni DAMU.

DAMU NI NINI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO​

Katika ulimwengu wa Roho, damu huwa inazungumza. Damu inaweza kukunenea na kukufanya uweze kutakasika. Damu inafungua milango ambayo imefungwa.

NItajikita sana kuongelea mambo yaliyomo kwenye Biblia maana ndio msingi wangu na nikitabu changu cha kwanza kuanza kujifunza mambo ya kiroho.

Damu ni Uhai Mambo ya Walawi 17:11

Kwa kuwa uhai wa mwili uko katika hiyo damu; nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa sababu ya nafsi.

Damu inatumika kuidhinisha maagano kati ya Mungu na wanadamu. Mwanzo 15:9-21, Kutoka 24:8

Musa akaitwaa ile damu, akawanyunyizia watu, akasema, Hii ndiyo damu ya agano alilolifanya Bwana pamoja nanyi katika maneno haya yote.

Damu ni Upatanisho Mambo ya Walawi 16:15-16


15 Kisha atamchinja yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya watu, na kuileta damu yake ndani ya pazia, na kwa damu hiyo atafanya vile vile kama alivyofanya kwa damu ya ng'ombe, na kuinyunyiza juu ya kiti cha rehema, na mbele ya kiti cha rehema,
16 naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu, kwa sababu ya mambo machafu ya wana wa Israeli, na kwa sababu ya makosa yao, naam, kwa ajili ya dhambi zao zote; naye atafanya vile vile kwa ajili ya hema ya kukutania, ikaayo pamoja nao katikati ya machafu yao.

Watu wameacha misingi hii muhimu sana ya kujiunganisha la ulimwengu wa roho. Wengine wanasema kuwa Damu ya Yesu inatosha. Lakini ukweli ni kwamba kama unataka kujiungamananisha na ulimwengu wa roho ni muhimu sana kuanza kujifunza kutoa sadaka ya kuchinja

JE NANI ANATAKIWA KUCHINJA?​

Je umewahi kujiuliza, kwanini hapa Tanzania ni watu wa dini fulani tu wanatakiwa kuchinja? Watu wengi hawajui maana yake na imekuwa kama utamaduni ambao msingi wake ni mambo ya kiroho.

Unapo chinja mnyama unaneno maneno. Maneno hayo yanapelekwa moja kwa moja katika ulimwengu wa roho kwa niamba yako. Watu wanachukulia kawaida tu.

KUNA JAMII WANAKUWA NA SHEREHE YA KUJICHA NA KUGAWA NYAMA BURE
Kama hujajua siri hii utaendelea kutawaliwa na wenzako watakuwa wakifanya biashara kubwa. Wewe unaendelea kusema damu ya Yesu yatosha huku ukienda kwa Mwamposa kila Siku. Lakini Mambo ya msingi utaendelea kuyasikia kwa wenzako.

Ukija kuangalia kuna baadhi ya tamaduni wanafanya hivyo. Mfano wapo kila mwisho wa mwaka wanaenda nyumbani kwao na kuchinja wanyama kisha wanakula na jamii yao kwa pamoja. Wengine wanaikinga hiyo damu na kuioga. Lakini wengine wakula na kuita kisusio.

NGOJA NITAENDELEA...
 

IBada ya Kuchinja​

Ibada ya kuchinja katika muktadha wa dini na tamaduni mbalimbali ina maana na umuhimu mkubwa. Ibada ya kuchinja inaonyesha shukrani, toba, na ushirikiano katika tamaduni na dini mbalimbali, ikionyesha uhusiano wa kiroho kati ya wanadamu na Mungu au miungu yao.

Katika Uislamu
Ibada ya kuchinja ni sehemu muhimu ya Uislamu na inajulikana kama "Qurbani" au "Udhiya." Hufanyika wakati wa sikukuu ya Eid al Adha, inayoadhimishwa duniani kote na Waislamu.

Ibada hii inahusiana na hadithi ya Ibrahimu (Abrahamu) ambaye aliamrishwa na Mungu kumtoa mwanawe Ismail (Ishmael) kama dhabihu. Hata hivyo, kabla ya kumchinja, Mungu alimpa kondoo kuchinja badala ya mwanawe.

Waislamu hufuata sheria maalum wakati wa kuchinja, ikiwemo kusema "Bismillah, Allahu Akbar" (Kwa jina la Mungu, Mungu ni Mkubwa) kabla ya kuchinja mnyama. Mnyama lazima awe katika hali nzuri ya afya na kuchinjwa kwa kutumia kisu kikali ili kumsababishia maumivu kidogo iwezekanavyo.

Nyama ya mnyama aliyechinjwa hugawanywa katika sehemu tatu: moja kwa familia, moja kwa marafiki na majirani, na moja kwa maskini na wahitaji. Hii ni ishara ya ukarimu na ushirikiano.

Katika Ukristo
Ingawa ibada ya kuchinja si sehemu ya kawaida katika Ukristo wa sasa, dhana ya dhabihu inapatikana katika Agano la Kale na Agano Jipya.

Katika Agano la Kale, dhabihu za wanyama zilikuwa sehemu muhimu ya ibada ya Kiyahudi. Wanyama walichinjwa kama sadaka kwa Mungu kwa ajili ya upatanisho wa dhambi na shukrani. Mfano maarufu ni dhabihu ya Ibrahimu ya kondoo badala ya mwanawe Isaka (Isaya 53:7).

HAPA NDIPO WAKRISTO WALIPOJIKWAA
Katika Agano Jipya, Yesu Kristo anajulikana kama "Mwanakondoo wa Mungu" ambaye alijitoa mhanga kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Kifo chake msalabani kilichukuliwa kama dhabihu ya mwisho, ikiondoa haja ya dhabihu za wanyama (Waebrania 9:12-14).
 

IBada ya Kuchinja​

Ibada ya kuchinja katika muktadha wa dini na tamaduni mbalimbali ina maana na umuhimu mkubwa. Ibada ya kuchinja inaonyesha shukrani, toba, na ushirikiano katika tamaduni na dini mbalimbali, ikionyesha uhusiano wa kiroho kati ya wanadamu na Mungu au miungu yao.

Katika Uislamu
Ibada ya kuchinja ni sehemu muhimu ya Uislamu na inajulikana kama "Qurbani" au "Udhiya." Hufanyika wakati wa sikukuu ya Eid al Adha, inayoadhimishwa duniani kote na Waislamu.

Ibada hii inahusiana na hadithi ya Ibrahimu (Abrahamu) ambaye aliamrishwa na Mungu kumtoa mwanawe Ismail (Ishmael) kama dhabihu. Hata hivyo, kabla ya kumchinja, Mungu alimpa kondoo kuchinja badala ya mwanawe.

Waislamu hufuata sheria maalum wakati wa kuchinja, ikiwemo kusema "Bismillah, Allahu Akbar" (Kwa jina la Mungu, Mungu ni Mkubwa) kabla ya kuchinja mnyama. Mnyama lazima awe katika hali nzuri ya afya na kuchinjwa kwa kutumia kisu kikali ili kumsababishia maumivu kidogo iwezekanavyo.

Nyama ya mnyama aliyechinjwa hugawanywa katika sehemu tatu: moja kwa familia, moja kwa marafiki na majirani, na moja kwa maskini na wahitaji. Hii ni ishara ya ukarimu na ushirikiano.

Katika Ukristo
Ingawa ibada ya kuchinja si sehemu ya kawaida katika Ukristo wa sasa, dhana ya dhabihu inapatikana katika Agano la Kale na Agano Jipya.

Katika Agano la Kale, dhabihu za wanyama zilikuwa sehemu muhimu ya ibada ya Kiyahudi. Wanyama walichinjwa kama sadaka kwa Mungu kwa ajili ya upatanisho wa dhambi na shukrani. Mfano maarufu ni dhabihu ya Ibrahimu ya kondoo badala ya mwanawe Isaka (Isaya 53:7).

HAPA NDIPO WAKRISTO WALIPOJIKWAA
Katika Agano Jipya, Yesu Kristo anajulikana kama "Mwanakondoo wa Mungu" ambaye alijitoa mhanga kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Kifo chake msalabani kilichukuliwa kama dhabihu ya mwisho, ikiondoa haja ya dhabihu za wanyama (Waebrania 9:12-14).
Sio lazima kila mtu kufanya hizo kafara za wanyama,, wengine wanachinjia mashetani tu, ,,,,,,kwa wakristo kafara ya Yesu inatosha kazi imeisha
 
Sasa mkuu nichinje nini nikisema nini ili mambo yangu yaende sawa


Kabla ya kufika huko
Anza na kujizuia na uzinzi .

Amka usiku ufanye prayers

Toa sadaka Sana hasa kwa Wazee na watoto.

Then Dhabiu ndo ifate.

Maana dhabiu Mimi naichukulia Kama sadaka ya juu Sana ya kujikomoti na higher power yako kiuaminifu na kufata misingi .
 
N
Kabla ya kufika huko
Anza na kujizuia na uzinzi .

Amka usiku ufanye prayers

Toa sadaka Sana hasa kwa Wazee na watoto.

Then Dhabiu ndo ifate.

Maana dhabiu Mimi naichukulia Kama sadaka ya juu Sana ya kujikomoti na higher power yako kiuaminifu na kufata misingi .
NGoja niifanyie lamination hii comment:
 
Kabla hujaanza kushusha tusiyo yajua pia kumbuka kisa cha Yesu na yule Tajiri aliye ambiwa akauze mali zake zote uwape wenye uhitaji then amfate.
 

UTANGULIZI​

Tunaishi hapa duniani, kuna siri nyingi zipo na wale wanaoweza kuzifahamu wanapata kujua mambo ya spirituality. Ni ukweli usiopingika kuwa pamoja na Sayansi kuleta mabadiliko makubwa lakini vilevile Imani zinaleta mabadiliko makubwa zaidi. Msimamo wangu ni Imani ipo na nafasi kubwa sana katika maisha yetu, vilevile sayansi nayo ipo na nafasi katika maisha yetu

Leo ninapenda nitoe siri ambayo inawafanya watu waweze kujiunganisha na ulimwengu wa roho. Moja ya siri hizo ni DAMU.

DAMU NI NINI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO​

Katika ulimwengu wa Roho, damu huwa inazungumza. Damu inaweza kukunenea na kukufanya uweze kutakasika. Damu inafungua milango ambayo imefungwa.

NItajikita sana kuongelea mambo yaliyomo kwenye Biblia maana ndio msingi wangu na nikitabu changu cha kwanza kuanza kujifunza mambo ya kiroho.







Watu wameacha misingi hii muhimu sana ya kujiunganisha la ulimwengu wa roho. Wengine wanasema kuwa Damu ya Yesu inatosha. Lakini ukweli ni kwamba kama unataka kujiungamananisha na ulimwengu wa roho ni muhimu sana kuanza kujifunza kutoa sadaka ya kuchinja

JE NANI ANATAKIWA KUCHINJA?​

Je umewahi kujiuliza, kwanini hapa Tanzania ni watu wa dini fulani tu wanatakiwa kuchinja? Watu wengi hawajui maana yake na imekuwa kama utamaduni ambao msingi wake ni mambo ya kiroho.

Unapo chinja mnyama unaneno maneno. Maneno hayo yanapelekwa moja kwa moja katika ulimwengu wa roho kwa niamba yako. Watu wanachukulia kawaida tu.

KUNA JAMII WANAKUWA NA SHEREHE YA KUJICHA NA KUGAWA NYAMA BURE
Kama hujajua siri hii utaendelea kutawaliwa na wenzako watakuwa wakifanya biashara kubwa. Wewe unaendelea kusema damu ya Yesu yatosha huku ukienda kwa Mwamposa kila Siku. Lakini Mambo ya msingi utaendelea kuyasikia kwa wenzako.

Ukija kuangalia kuna baadhi ya tamaduni wanafanya hivyo. Mfano wapo kila mwisho wa mwaka wanaenda nyumbani kwao na kuchinja wanyama kisha wanakula na jamii yao kwa pamoja. Wengine wanaikinga hiyo damu na kuioga. Lakini wengine wakula na kuita kisusio.

NGOJA NITAENDELEA...
Hatuna haja ya kutoa kafara tena, kafara ilifanyika pale msalaba ni ya damu ya mwanakondoo, Damu y Yesu inatosha, ulimwengu wa giza endeleeni na hizo damu za wanyama, kiufupi kila mtu ashinde mechi zake
 

Sadaka ya kuteketezwa (Burnt Offering)​

Mambo ya Walawi 1:1-17
Sadaka ya kuteketezwa (Burnt Offering) ipo na malengo kadhaa katika mfumo wa ibada, kama ilivyoelezwa katika vitabu vya Biblia.

MALENGO YA SADAKA YA KUTEKETEZWA

1. Kumtolea Mungu Heshima na Kuonyesha Kumtii
2. Kutakasa na Kutubu Dhambi​
3. Kutoa Shukrani kwa Mungu
4. Kujitolea na Kujisalimisha
5. Kuweka Ushirika na Mungu
6. Kuonyesha Utakaso na Usafi wa Ibada​

NAMNA YA KUTOA SADAKA YA KUTEKETEZWA
Sadaka ya kuteketezwa ingeweza kuwa ng'ombe, kondoo, mbuzi, au ndege (hua au jiwa), kulingana na uwezo wa mtoaji. Mnyama huyo alitakiwa kuwa bila dosari, akiwakilisha ukamilifu na usafi unaohitajika kwa sadaka.

Ng'ombe Walawi 1:3
Kondoo au mbuzi Walawi 1:10
Hua au jiwa Walawi 1:14
 

Sadaka za Amani (Walawi 3:1-17)​

Ng’ombe, Kondoo, au Mbuzi, Mchakato wa kutoa sadaka ya amani ni sawa na sadaka ya kuteketezwa. Mnyama lazima achinjwe. Damu yake itamwagwa na kunyunyizwa pande zote za madhabahu. Mafuta na baadhi ya sehemu za ndani zitachomwa juu ya madhabahu kama harufu nzuri kwa Bwana.

Madhabahu inatakiwa iweje​

Madhahahu inatengenezwa kwa kutumia mawe ambayo hayajachingwa na mwanadamu. Kusanya mawe kisha weka kuni juu ya hiyo madhabahu uliyoitengeneza.

Unatakiwa uwe umeoga na upo msafi.
Chuna ngozi ya mnyama huyo.
Hakikisha unaosha matumbo na Miguu ya huyo mnyama uliyemchinja.
Mkatekate vipande vipande huyo mnyama.
Muweke juu ya kuni na kisha washa moto.

Mimi huwa napendelea kuanza kutoa sadaka ya kuteketeza saa moja jioni. Mpaka saa kumi na mbili alfajiri. Mnyama huyo atakuwa ameteketea na kubaki mkaa tu.
 

UTANGULIZI​

Tunaishi hapa duniani, kuna siri nyingi zipo na wale wanaoweza kuzifahamu wanapata kujua mambo ya spirituality. Ni ukweli usiopingika kuwa pamoja na Sayansi kuleta mabadiliko makubwa lakini vilevile Imani zinaleta mabadiliko makubwa zaidi. Msimamo wangu ni Imani ipo na nafasi kubwa sana katika maisha yetu, vilevile sayansi nayo ipo na nafasi katika maisha yetu

Leo ninapenda nitoe siri ambayo inawafanya watu waweze kujiunganisha na ulimwengu wa roho. Moja ya siri hizo ni DAMU.

DAMU NI NINI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO​

Katika ulimwengu wa Roho, damu huwa inazungumza. Damu inaweza kukunenea na kukufanya uweze kutakasika. Damu inafungua milango ambayo imefungwa.

NItajikita sana kuongelea mambo yaliyomo kwenye Biblia maana ndio msingi wangu na nikitabu changu cha kwanza kuanza kujifunza mambo ya kiroho.







Watu wameacha misingi hii muhimu sana ya kujiunganisha la ulimwengu wa roho. Wengine wanasema kuwa Damu ya Yesu inatosha. Lakini ukweli ni kwamba kama unataka kujiungamananisha na ulimwengu wa roho ni muhimu sana kuanza kujifunza kutoa sadaka ya kuchinja

JE NANI ANATAKIWA KUCHINJA?​

Je umewahi kujiuliza, kwanini hapa Tanzania ni watu wa dini fulani tu wanatakiwa kuchinja? Watu wengi hawajui maana yake na imekuwa kama utamaduni ambao msingi wake ni mambo ya kiroho.

Unapo chinja mnyama unaneno maneno. Maneno hayo yanapelekwa moja kwa moja katika ulimwengu wa roho kwa niamba yako. Watu wanachukulia kawaida tu.

KUNA JAMII WANAKUWA NA SHEREHE YA KUJICHA NA KUGAWA NYAMA BURE
Kama hujajua siri hii utaendelea kutawaliwa na wenzako watakuwa wakifanya biashara kubwa. Wewe unaendelea kusema damu ya Yesu yatosha huku ukienda kwa Mwamposa kila Siku. Lakini Mambo ya msingi utaendelea kuyasikia kwa wenzako.

Ukija kuangalia kuna baadhi ya tamaduni wanafanya hivyo. Mfano wapo kila mwisho wa mwaka wanaenda nyumbani kwao na kuchinja wanyama kisha wanakula na jamii yao kwa pamoja. Wengine wanaikinga hiyo damu na kuioga. Lakini wengine wakula na kuita kisusio.

NGOJA NITAENDELEA...
Dawa ya huu upumbavu wa kuchinja kafara ni kuacha kula nyama .
 
Mwl Venus Star naomba kuuliza,
1. Je Mkristo anaweza kutoa mnyama kwa ajili ya kafara?
2. Mkristo atoe mnyama yupi?

3. Akatoe wapi?

4. Je Mkristo nyama ya huyo mnyama aingawe kwa watu au ateketeze?

5. Mkristo ambaye si mfanyabiashara bali mfanya vibarua sadaka hii anaweza kutoa?

6. Ni faida zipi atazipata Mkristo akitoa hii sadaka ya kuteketezwa?
Natanguliza shukurani zangu Mkuu🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom