Secret: Ukweli kuhusu Sadaka ya Kuchinja Wanyama na Kutoa Damu

Secret: Ukweli kuhusu Sadaka ya Kuchinja Wanyama na Kutoa Damu

IBada ya Kuchinja​

Ibada ya kuchinja katika muktadha wa dini na tamaduni mbalimbali ina maana na umuhimu mkubwa. Ibada ya kuchinja inaonyesha shukrani, toba, na ushirikiano katika tamaduni na dini mbalimbali, ikionyesha uhusiano wa kiroho kati ya wanadamu na Mungu au miungu yao.

Katika Uislamu
Ibada ya kuchinja ni sehemu muhimu ya Uislamu na inajulikana kama "Qurbani" au "Udhiya." Hufanyika wakati wa sikukuu ya Eid al Adha, inayoadhimishwa duniani kote na Waislamu.

Ibada hii inahusiana na hadithi ya Ibrahimu (Abrahamu) ambaye aliamrishwa na Mungu kumtoa mwanawe Ismail (Ishmael) kama dhabihu. Hata hivyo, kabla ya kumchinja, Mungu alimpa kondoo kuchinja badala ya mwanawe.

Waislamu hufuata sheria maalum wakati wa kuchinja, ikiwemo kusema "Bismillah, Allahu Akbar" (Kwa jina la Mungu, Mungu ni Mkubwa) kabla ya kuchinja mnyama. Mnyama lazima awe katika hali nzuri ya afya na kuchinjwa kwa kutumia kisu kikali ili kumsababishia maumivu kidogo iwezekanavyo.

Nyama ya mnyama aliyechinjwa hugawanywa katika sehemu tatu: moja kwa familia, moja kwa marafiki na majirani, na moja kwa maskini na wahitaji. Hii ni ishara ya ukarimu na ushirikiano.

Katika Ukristo
Ingawa ibada ya kuchinja si sehemu ya kawaida katika Ukristo wa sasa, dhana ya dhabihu inapatikana katika Agano la Kale na Agano Jipya.

Katika Agano la Kale, dhabihu za wanyama zilikuwa sehemu muhimu ya ibada ya Kiyahudi. Wanyama walichinjwa kama sadaka kwa Mungu kwa ajili ya upatanisho wa dhambi na shukrani. Mfano maarufu ni dhabihu ya Ibrahimu ya kondoo badala ya mwanawe Isaka (Isaya 53:7).

HAPA NDIPO WAKRISTO WALIPOJIKWAA
Katika Agano Jipya, Yesu Kristo anajulikana kama "Mwanakondoo wa Mungu" ambaye alijitoa mhanga kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Kifo chake msalabani kilichukuliwa kama dhabihu ya mwisho, ikiondoa haja ya dhabihu za wanyama (Waebrania 9:12-14).
Noma sana!
 
Mwl. Venus Star Pole kwa majukumu. Naomba kujua napaswa kutoa hii sadaka mara ngap kwa mwaka? Na mahali gani panafaa? Maneno gani ya kusema?
 

UTANGULIZI​

Tunaishi hapa duniani, kuna siri nyingi zipo na wale wanaoweza kuzifahamu wanapata kujua mambo ya spirituality. Ni ukweli usiopingika kuwa pamoja na Sayansi kuleta mabadiliko makubwa lakini vilevile Imani zinaleta mabadiliko makubwa zaidi. Msimamo wangu ni Imani ipo na nafasi kubwa sana katika maisha yetu, vilevile sayansi nayo ipo na nafasi katika maisha yetu

Leo ninapenda nitoe siri ambayo inawafanya watu waweze kujiunganisha na ulimwengu wa roho. Moja ya siri hizo ni DAMU.

DAMU NI NINI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO​

Katika ulimwengu wa Roho, damu huwa inazungumza. Damu inaweza kukunenea na kukufanya uweze kutakasika. Damu inafungua milango ambayo imefungwa.

NItajikita sana kuongelea mambo yaliyomo kwenye Biblia maana ndio msingi wangu na nikitabu changu cha kwanza kuanza kujifunza mambo ya kiroho.







Watu wameacha misingi hii muhimu sana ya kujiunganisha la ulimwengu wa roho. Wengine wanasema kuwa Damu ya Yesu inatosha. Lakini ukweli ni kwamba kama unataka kujiungamananisha na ulimwengu wa roho ni muhimu sana kuanza kujifunza kutoa sadaka ya kuchinja

JE NANI ANATAKIWA KUCHINJA?​

Je umewahi kujiuliza, kwanini hapa Tanzania ni watu wa dini fulani tu wanatakiwa kuchinja? Watu wengi hawajui maana yake na imekuwa kama utamaduni ambao msingi wake ni mambo ya kiroho.

Unapo chinja mnyama unaneno maneno. Maneno hayo yanapelekwa moja kwa moja katika ulimwengu wa roho kwa niamba yako. Watu wanachukulia kawaida tu.

KUNA JAMII WANAKUWA NA SHEREHE YA KUJICHA NA KUGAWA NYAMA BURE
Kama hujajua siri hii utaendelea kutawaliwa na wenzako watakuwa wakifanya biashara kubwa. Wewe unaendelea kusema damu ya Yesu yatosha huku ukienda kwa Mwamposa kila Siku. Lakini Mambo ya msingi utaendelea kuyasikia kwa wenzako.

Ukija kuangalia kuna baadhi ya tamaduni wanafanya hivyo. Mfano wapo kila mwisho wa mwaka wanaenda nyumbani kwao na kuchinja wanyama kisha wanakula na jamii yao kwa pamoja. Wengine wanaikinga hiyo damu na kuioga. Lakini wengine wakula na kuita kisusio.

NGOJA NITAENDELEA...
Nimeona mikoa ya Dodoma, singida..Tanga pwani na mikoa yenye waislam wengi waislam wanachinja wanyama kila mara, nyama wanaigawa.. nikaja kugundua hii ni I ada kubwa sana ambayo nyuma yake wapo watoa fedha HASA Oman, Umona wa falme za kiarabu, UTURUKI, NA matajiri wengi wa kiarabu. Ibada hii mbali na kuwa ni sadaka Kwa MUNGU au Allah, pia nyama zimenenewa maneno ya kudhoofisha upande wa pili( wakristo) maana walaji ni wakristo HASA wakatoliki. Na Kwa kuwa nyama ni mboga, basi mida ya kiangaz wanyama wengi wanaanguka sana .hiii inamatokeo yafutayo:

1. Imeimarisha uislam..
2.mifugo mingi INAISHA hasa maeneo hayo, na Kwa kuwa Lindi na mtwara ufugaji syo mkubwa
.basi wanyama wengi wanaanguka na kuisha.
3. Matajiri wengi wa kiarabu au wenye asili ya ASIA wanastawi sana. Mfano MO , BAKHRESA,
4. Maeneo mengi imbayo ibada hii inafanyika yanaendelea kuwa fukara na njaaa sana huku magonjwa ya akili na ulevi, uzinzi ukishamiri Kwa Kasi.
5. Rasilimali haiwafaidishi hata hao wanauza wanyama.. mali asili na rasilimali watu haziwasaidiii hataa kidogo, wanaofaidika ni wageni kutoka ASIA
5. NDOA ZINAVUNJIKA SANA.... Mengine I kama vile Dubai kuuziwa bandari, misitu, na omana kupewa KIA, MSAUDIA KUPEWA NGORONGORO.. MO KUMILIKI SIMBA , G SM KUMILIKI YANGA , BAKHRESA KUMILIKI AZAM MIDIA NA TIMU, ROSTAM .... YAAAAAN
 
Dini imejificha kwenye kichaka Cha ujangili na ukatili Kwa viumbe vingi sana duniani. Yaani unaamua kumuua mnyama ambaye Bado anategenewa na watoto (ndama) Kwa sababu ya maandiko ya kale na yaliyotungwa na wanadamu wenye ufinyu wa ufahamu wa mambo ya kidunia. Hovyo kabisa.
 
Kabla ya kufika huko
Anza na kujizuia na uzinzi .

Amka usiku ufanye prayers

Toa sadaka Sana hasa kwa Wazee na watoto.

Then Dhabiu ndo ifate.

Maana dhabiu Mimi naichukulia Kama sadaka ya juu Sana ya kujikomoti na higher power yako kiuaminifu na kufata misingi .
Akuzingatie mambo yataenda sawa. Kwa kuongezea kiufupi ajitakase mwili na roho.
 

IBada ya Kuchinja​

Ibada ya kuchinja katika muktadha wa dini na tamaduni mbalimbali ina maana na umuhimu mkubwa. Ibada ya kuchinja inaonyesha shukrani, toba, na ushirikiano katika tamaduni na dini mbalimbali, ikionyesha uhusiano wa kiroho kati ya wanadamu na Mungu au miungu yao.

Katika Uislamu
Ibada ya kuchinja ni sehemu muhimu ya Uislamu na inajulikana kama "Qurbani" au "Udhiya." Hufanyika wakati wa sikukuu ya Eid al Adha, inayoadhimishwa duniani kote na Waislamu.

Ibada hii inahusiana na hadithi ya Ibrahimu (Abrahamu) ambaye aliamrishwa na Mungu kumtoa mwanawe Ismail (Ishmael) kama dhabihu. Hata hivyo, kabla ya kumchinja, Mungu alimpa kondoo kuchinja badala ya mwanawe.

Waislamu hufuata sheria maalum wakati wa kuchinja, ikiwemo kusema "Bismillah, Allahu Akbar" (Kwa jina la Mungu, Mungu ni Mkubwa) kabla ya kuchinja mnyama. Mnyama lazima awe katika hali nzuri ya afya na kuchinjwa kwa kutumia kisu kikali ili kumsababishia maumivu kidogo iwezekanavyo.

Nyama ya mnyama aliyechinjwa hugawanywa katika sehemu tatu: moja kwa familia, moja kwa marafiki na majirani, na moja kwa maskini na wahitaji. Hii ni ishara ya ukarimu na ushirikiano.

Katika Ukristo
Ingawa ibada ya kuchinja si sehemu ya kawaida katika Ukristo wa sasa, dhana ya dhabihu inapatikana katika Agano la Kale na Agano Jipya.

Katika Agano la Kale, dhabihu za wanyama zilikuwa sehemu muhimu ya ibada ya Kiyahudi. Wanyama walichinjwa kama sadaka kwa Mungu kwa ajili ya upatanisho wa dhambi na shukrani. Mfano maarufu ni dhabihu ya Ibrahimu ya kondoo badala ya mwanawe Isaka (Isaya 53:7).

HAPA NDIPO WAKRISTO WALIPOJIKWAA
Katika Agano Jipya, Yesu Kristo anajulikana kama "Mwanakondoo wa Mungu" ambaye alijitoa mhanga kwa ajili ya dhambi za wanadamu. Kifo chake msalabani kilichukuliwa kama dhabihu ya mwisho, ikiondoa haja ya dhabihu za wanyama (Waebrania 9:12-14).
Yote matokeo ya akili ndogo na uzwazwa
 
Back
Top Bottom