peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Secretary wa Afisa Madini mkoa wa Geita ajirekebishe. Ofisi ya madini Mkoa wa Geita umekuwa kero tena kero kubwa.
Time ya madini imemficha PS au secretary wa afisa madini Mkoa wa Geita na kuruhusu huyu mama kufanyia wateja chochote anachotaka.
1. Hana customer care
2. Bila rushwa hakuhudumii
3. Ana lugha chafu kwà wateja
4. Kama boss wake yupo anakuhudumia bàdala ya boss wake ukimpa chochote.
5. Ana upendeleo kuhudumia wateja.
Ofisi ya madini Mkoa wa Geita ina wateja wengi kutoka wilaya sita ila huduma wanayopewa hailingalini na hadi ya tume ya madini.
Tunaomba Kilio hiki kifike tume ya madini .
Time ya madini imemficha PS au secretary wa afisa madini Mkoa wa Geita na kuruhusu huyu mama kufanyia wateja chochote anachotaka.
1. Hana customer care
2. Bila rushwa hakuhudumii
3. Ana lugha chafu kwà wateja
4. Kama boss wake yupo anakuhudumia bàdala ya boss wake ukimpa chochote.
5. Ana upendeleo kuhudumia wateja.
Ofisi ya madini Mkoa wa Geita ina wateja wengi kutoka wilaya sita ila huduma wanayopewa hailingalini na hadi ya tume ya madini.
Tunaomba Kilio hiki kifike tume ya madini .