sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,422
Wadau napenda kuja na wazo la ku-disect biashara fulani fulani ili tuweze kufahamu undani wa hiyo biashara (najua jungu kuu na humu ndani kuna wafanyabiashara tofauti)..
Mfano niliongea na muuza karanga akaniambia mara nyingi shilingi huzaa shilingi kwenye karanga zake.., au muuza soda, magazeti, bia au voucher anakula percent kiasi ya kila anachouza..
Sasa kwa kuanza na Butcher.., Wadau hivi kwenye hii biashara wenye butcher wengi huwa wananunua wanyama na kuwapeleka kuchinja (then ndio wanauza) au wananunua machinjioni na kuuza reja reja ?, na margin ni kiasi gani ukizingatia kwamba kuna kuharibika na mzigo kuoza ?
Na je unaweza kununua mfano Cuts unazotaka (mfano utumbo peke yake au mkuu au mbavu) ?
Natanguliza shukrani...
Sun Wu.... The Seeker of Knowledge
Mfano niliongea na muuza karanga akaniambia mara nyingi shilingi huzaa shilingi kwenye karanga zake.., au muuza soda, magazeti, bia au voucher anakula percent kiasi ya kila anachouza..
Sasa kwa kuanza na Butcher.., Wadau hivi kwenye hii biashara wenye butcher wengi huwa wananunua wanyama na kuwapeleka kuchinja (then ndio wanauza) au wananunua machinjioni na kuuza reja reja ?, na margin ni kiasi gani ukizingatia kwamba kuna kuharibika na mzigo kuoza ?
Na je unaweza kununua mfano Cuts unazotaka (mfano utumbo peke yake au mkuu au mbavu) ?
Natanguliza shukrani...
Sun Wu.... The Seeker of Knowledge