Wewe unaishi wapi uauliza maswali ya kitoto namna hii? Au unaandika kwa sababu bando ni la kwako? Nitakupa machache ya Makonda;Nipe mfano wa maamuzi ya Makonda na Kabudi yaliyofanywa kwa level ya serikali ya JMT?
Kama Samia na Majaliwa Ni danganya Toto was kulaumiwa nani? Japo pia sikubaliani na hoja yako. Maamuzi ya nchi ielekee wapi yafanywe na Makonda kweli? Mnampa umaarufu hata yy mwenyewe hakuwahi kuutarajia.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ulishapigana vita? Au ulikuwepo mwanza wakati wa vita vya kagera? Mig 21 tu ikipita chini unaweza kuzimia. Vita isikie kwa mwenzako. Tatizo ushabiki
Pascal Mayalla,
Paskali, nadhani unatakiwa kuwaambia hao watawala ndio wawe makini, unaposema tuwe makini sisi sikuelewi kabisa, sijasoma maelezo yako yote kwani yanakatisha tama hata kuyasoma yote, (kwa kutumia heading yako tu), mimi naona Marekani wanachelewa tu, wangechukua hatua ya wanachotaka kufanya ile tujue kinachofuata.
Nyumbu hawa nyumbu au nyumbu wale nyumbu
Nakaa kimyaWe all die once, unapenda kuish kwanini hutaki kufanya mabadiliko, mbna machifu wako walipigana na wakoloni na kupigania uhuru wao ambao ndio leo tupo hapa. Mbna hili uliongelei
unaona ni sawa Tanzania kuwa hapa ilipo zaid ya miaka 50 ?
Mkapa amekuwa Raisi wa Tanzania miaka 10 anajua udhaifu wa Tume ya Uchaguzi kuliko sis sababu alimuweka madarakani mara mbili. Sasa anapoitama i TUME HURU YA UCHAGUZI ujue tuliyonayo si huru.kuna ubaya gani nchi marafiki wakisaidiakupaza sauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitulishe matango pori. Sisi wote ni Watanzania na tunajuwa anachokifanya Magufuli ni cha kawaida. Marais wote kuanzia Awamu ya 1 hadi ya 4 wamefanya kadri ya uwezo wao kwa nyakati zao. Hakuna cha ajabu anavyofanya huyu ambacho wengine hawakufanya. Kwa hiyo sitaki hiyo miradi anayofanya iwe ni kichaka cha kujificha anapofanya mauaji ya wakosoaji, kukandamiza uhuru wa kujieleza na kukandamiza vyama vya upinzani.Rais Magufuli ni kiongozi pekee katika bara la Africa aliyeonyesha nia ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake pili ni kiongozi pekee ambaye anatumia fedha za walipa kodi, mikopo na wahisani kwa maendeleo ya wananchi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaushahidi hongera. Lkn kama ni haya haya ya akina Kigogo kuwa makini na matumizi ya bando lako. Sbb utapaswa kuthibitisha na mm sitakuwepo huko.Wewe unaishi wapi uauliza maswali ya kitoto namna hii? Au unaandika kwa sababu bando ni la kwako? Nitakupa machache ya Makonda;
1. Kumuua Ben Saa Nane
2.Kumshambulia na kumjeruhi Lissu
3. Kuzuia CDM wasipewe barua za usimamizi wa uchaguzi mdogo wa Kinondoni kisha kuuawa kwa Akwilina na mashtaka kufunguliwa viongozi wa CDM badala ya Polisi.
4. Kumteka Mohamed Dewji na Roma Mkatoliki
5. Kusumbua wafanya biashara kwa kisingizio cha madawa ya kulevya
Na ya Kabudi:
1. Ushauri kuhusu biashara ya Korosho kwa mfanya biashara wa Kenya
2. Mkataba usio na faida wa Barrick na Tanzania
of-course it is a two man show countrySio kweli unajibu hoja kwa hisia. Nchi kubwa hii one man show haiwezekani.
Hivi unadhani ndiyo umenitisha kwa akili yako finyu!! Hatutaacha kuandika kuhusu vitendo vya ukatili vunavyofanywa na Paul Makonda kwa baraka za Jiwe kwa kuogopa kuuliwa au kubambikiziwa kesi za utakatishaji fedha.Kama unaushahidi hongera. Lkn kama ni haya haya ya akina Kigogo kuwa makini na matumizi ya bando lako. Sbb utapaswa kuthibitisha na mm sitakuwepo huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uoga. Nikutishe mm nakujua wewe? Nimekupa fact ya unayoandika uwe na ushahidi wake ndio kanuni ya jinai ilivyo.Hivi unadhani ndiyo umenitisha kwa akili yako finyu!! Hatutaacha kuandika kuhusu vitendo vya ukatili vunavyofanywa na Paul Makonda kwa baraka za Jiwe kwa kuogopa kuuliwa au kubambikiziwa kesi za utakatishaji fedha.
Kama ID ni ya afnhondya ni ya kwako Makonda au mtu wa karibu na Makonda, kaa ukijua kuwa siku zako zinahesabiwa utafikishwa tu ICC.