kamili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,217
- 853
Yaani CCM walishinda uchaguzi wa serikali za mitaa kwa 99% +?
Tunachojua CCM ilipora mchakato wa uchaguzi huo na hivyo kupora ushindi.
Uwongo hautaisaidia CCM bali utawapa mabeberu sababu.
Baada ya kusoma uongo huo wa ushindi nimeachia hapo siwezi endelea kusoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachojua CCM ilipora mchakato wa uchaguzi huo na hivyo kupora ushindi.
Uwongo hautaisaidia CCM bali utawapa mabeberu sababu.
Baada ya kusoma uongo huo wa ushindi nimeachia hapo siwezi endelea kusoma
Sent using Jamii Forums mobile app