Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Ulipotea sana mzee baba
 
Magufuli alikuwa ni tishio kwao kwani alikuwa akianza kutiliwa maanani barani Afrika.

Marafiki zangu wengi tu kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaprofile za hayati Magufuli katika simu zao na wengine hata vijana wao.

Hata maoni ya baadhi ya wazungu katika magazeti mbalimbali ya Ulaya kama Daily Mail wametoa salamu za kumtambua Magufuli kuwa alikuwa kiongozi wa kipekee aliekuwa na nia dhabiti ya kuikomboa nchi yake.

Na hata mzungu mmoja kwenye twitter ameuliza kuhusu maoni ya bwana mmoja aitwae Vava Tampa mwezi ulopita katika gazeti la Guardian la Uingereza.

Katika kichwa cha maoni yake hayo alisema"

It's time for Africa to rein in Tanzania's anti-vaxxer president".​

Kuna kitu chaitwa Global Movement na chafadhiliwa na mfuko wa Bill na Melinda Gates.

Tampa anaanza kuuliza katika makala yake hiyo kwamba "What is wrong with President John Magufuli? Many people in and outside Tanzania are asking this question".

Makala hiyo ilitoka terehe 8 February 2021.

Mengine ni kuchambua upi mchele na yapi makapi.
Afrika ipi iliyoanza kumtilia maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu Corona na chanjo, ushirikiano na jamii ya kimataifa, nchi zote zimeagiza chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?

Hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu.

Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?
 
Paskali inabidi ukasaidie vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuhusu hili jambo linalopangwa na Marekani, ila nawaza tu kwamba Tanzania ni Tishio sana kwa nchi kubwa duniani mpaka Marekani atuwazie jambo bata, labda tunakaribia kuwa super power
 
Africa ipi iliyoanza kumtila maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu, Corona na chanjo? nchi zote zimeagia chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?
hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu
Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?
Povu ndoo nzima.

Kwa sasa dunia imeipuuza corona au bado tunaendelea na lockdown kila baada ya siku??
 
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Huyo huwa anapongezwa na viongozi utopolo kutoka,burundi,congo,uganda wenye tabia kama zake,mungu fundi kampa kelbu moja tu kule jamaa yuko mawinguni..[emoji870]tena na tumemuongezea 15 mingine
 
Nawaza kijazi na Magufuli case ni sawa kwa nini walinzi wako salama, msigwa yuko salama hana corona, nawaza isije kua walitumia barua rasmi ikasomwa na CS kijazi baadae mzee akaisoma ikawa balaa, kifo hiki sio kawaida, nadhani wanausalama wetu wajitahidi kufanya uchunguzi, maana baada ya ziara ya waziri wa China, tulikwenda ngara tukawa na mwingereza balozi bado maswali ni mengi
Hahaa [emoji870]tena coona sio mchezo,jamaa yuko mawinguni anawasalimu sana
 
Africa ipi iliyoanza kumtila maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu, Corona na chanjo? nchi zote zimeagia chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?
hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu
Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?
Unafikiri anazo akili za kukuelewa?
 
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Paskali sio lazima kupewa pole, by the way hata ukipewa pole maelfu haiwezi kurudisha aliekufa, wao (VP) wameamua kupongeza, na aliepongezwa ni Samia Suluhu sio wewe, sioni unawashwa na nini
 
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Hata mimi niligutuka hapo. Nikadhani labda salamu za rambirambi walitoa lakini ni mimi tu ndiyo sikuziona kwa bahati mbaya.
 
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
Ulichokiongelea hakina ukweli wowote umekiweka zaidi ki conspiracy na hatuna potential yeyote itakayomfanya Marekani aje hapa kama alivyo huko Syria na kwingineko na hapa unajaribu kutengeneza imani flani hivi kwamba aliyekufa tumweke doubt kwamba kuna nyuma ya pazia kifo chake kwamba kuna watu, au mtu (mabeberu) amehusika.

Tuachane na siasa mbona Tundu lissu yupo hai leo na kuna attempts za kumuuwa zilifanyika zikashindikana. Siku ikifika huna ujanja let the weak dies and the strongest survive

Halafu jua kwamba dunia ya sasa watu wengi huendeshwa na hisia zao na sio akili zao.
 
Nasimama upande wako Mkuu, umeongea Points sana
Alisema mwandishi habari mmoja nguli hapa nchini, Mtu asiyesamehe ni kiumbe dhaifu, na viumbe dhaifu ((wasiosamehe) na wenye visasi na chuki kwa wengine) hufa mapema ili wapishe viumbe shupavu vitawale dunia hii ambayo tulipewa na Mungu tuitawale, Ukitaka kuishi maisha marefu Jifunze kusemehe,
lakini pia Samia Suluhu Hassan alisema, Ukisemwa vibaya na watu wengi maisha yako yatakuwa matatani na utakufa hima.
 
Back
Top Bottom