Ulipotea sana mzee babaWhat if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Sukuma land ndo msumaa umezima hivyo.Kama alikosa teuzi ndo basi hivyo.ilikuwa kutafuta uteuzi.
Nazungumzia poisoning mkuu, sijui umenielewa?Hata kama waliumwa walijiuguza na wakapona maana immune zao zipo OK.
Kumbuka symptoms ni siku 7 hadi 10 then you start to recover.
Afrika ipi iliyoanza kumtilia maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu Corona na chanjo, ushirikiano na jamii ya kimataifa, nchi zote zimeagiza chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?Magufuli alikuwa ni tishio kwao kwani alikuwa akianza kutiliwa maanani barani Afrika.
Marafiki zangu wengi tu kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaprofile za hayati Magufuli katika simu zao na wengine hata vijana wao.
Hata maoni ya baadhi ya wazungu katika magazeti mbalimbali ya Ulaya kama Daily Mail wametoa salamu za kumtambua Magufuli kuwa alikuwa kiongozi wa kipekee aliekuwa na nia dhabiti ya kuikomboa nchi yake.
Na hata mzungu mmoja kwenye twitter ameuliza kuhusu maoni ya bwana mmoja aitwae Vava Tampa mwezi ulopita katika gazeti la Guardian la Uingereza.
Katika kichwa cha maoni yake hayo alisema"
It's time for Africa to rein in Tanzania's anti-vaxxer president".
Kuna kitu chaitwa Global Movement na chafadhiliwa na mfuko wa Bill na Melinda Gates.
Tampa anaanza kuuliza katika makala yake hiyo kwamba "What is wrong with President John Magufuli? Many people in and outside Tanzania are asking this question".
Makala hiyo ilitoka terehe 8 February 2021.
Mengine ni kuchambua upi mchele na yapi makapi.
Povu ndoo nzima.Africa ipi iliyoanza kumtila maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu, Corona na chanjo? nchi zote zimeagia chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?
hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu
Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?
Huyo huwa anapongezwa na viongozi utopolo kutoka,burundi,congo,uganda wenye tabia kama zake,mungu fundi kampa kelbu moja tu kule jamaa yuko mawinguni..[emoji870]tena na tumemuongezea 15 mingineWhat if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Hahaa [emoji870]tena coona sio mchezo,jamaa yuko mawinguni anawasalimu sanaNawaza kijazi na Magufuli case ni sawa kwa nini walinzi wako salama, msigwa yuko salama hana corona, nawaza isije kua walitumia barua rasmi ikasomwa na CS kijazi baadae mzee akaisoma ikawa balaa, kifo hiki sio kawaida, nadhani wanausalama wetu wajitahidi kufanya uchunguzi, maana baada ya ziara ya waziri wa China, tulikwenda ngara tukawa na mwingereza balozi bado maswali ni mengi
Unafikiri anazo akili za kukuelewa?Africa ipi iliyoanza kumtila maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu, Corona na chanjo? nchi zote zimeagia chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?
hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu
Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?
Paskali sio lazima kupewa pole, by the way hata ukipewa pole maelfu haiwezi kurudisha aliekufa, wao (VP) wameamua kupongeza, na aliepongezwa ni Samia Suluhu sio wewe, sioni unawashwa na niniWhat if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Hata mimi niligutuka hapo. Nikadhani labda salamu za rambirambi walitoa lakini ni mimi tu ndiyo sikuziona kwa bahati mbaya.What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Ulichokiongelea hakina ukweli wowote umekiweka zaidi ki conspiracy na hatuna potential yeyote itakayomfanya Marekani aje hapa kama alivyo huko Syria na kwingineko na hapa unajaribu kutengeneza imani flani hivi kwamba aliyekufa tumweke doubt kwamba kuna nyuma ya pazia kifo chake kwamba kuna watu, au mtu (mabeberu) amehusika.Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
Kwani kujikinga na corona ni lazima kufanya lockdown? Mbona una akili finyu sanapovu ndoo nzima.
kwa sasa dunia imeipuuza corona au bado tunaendelea na lockdown kila baada ya siku??
Akili finyu ni kudhani kujinga na corona ni kuvaa barakoa.kwani kujikinga na corona ni lazima kufanya lockdown? mbona una akili finyu sana
Wamekufa lini? Mbona juzi wote walikuwepo uwanja Wa Uhuru na kanisani?Very suspicious. Hivi mbona taarifa za mtaani zilizopo ni kwamba wale bodyguards wa Hayati Magufuli wawili mmoja wa Kilosa nao wamekufa?How authentic is this information. Could it be poisoning of some kind?