You nailed bro.Acheni propaganda za kijinga bhana, Magufuli alikuwa anaumwa moyo, Magu alikuwa hataki stress au kuwa na mawazo, kifo cha Mkapa kilimuumiza sana, na kifo cha Kijazi ambae alikuwa rafiki yake kilimuumiza kupitiliza, kiufupi stress ndiyo zilizo muua..
-Aliondoa upinzani Bungeni ili apunguze stress na makelele ya upinzani alidhibiti vyombo vya Habari na upinzani ili kuondoa stress, kile ki piece maker usiombe uwekewe hicho kidude kilimuondoa mjomba wangu..
Magu alikuwa anahitaji sana support ya watanzania na alikuwa hataki mtu wa kumkosoa sababu ya maradhi yake ya moyo
Kwanza wamemstiri sana maana kwa utamaduni.wa kwetu mtu asiyeenda kwenye misiba ya wenzake hata wa kwake watu hawaji.Hotuba zote zinakuwa ni za kumpamba mtu mkuu, kwa ajili tu ya utamaduni, kinachokupa uhalisia kama wanaamini falsafa zake ni matendo yake
Mfano Ramaphosa kamsifia Magufuli kuwa hasafiri nje kwa ajili ya kuitumikia nchi yake, Lakini kama ni jambo zuri kutokusafiri kabisa mbona yeye husafiri na kuhudhuria mikutano mingi ya kimataifa?
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P
Wasi Wasi Ndiyo Akili
Ila Ukweli Tumepatwa Na Misiba Ya Viongozi Wakubwa Mfululizo, Waangalie Upya Kuna Jambo
Magufuli alikuwa ni tishio kwao kwani alikuwa akianza kutiliwa maanani barani Afrika.
Marafiki zangu wengi tu kutoka nchi mbalimbali za Afrika wanaprofile za hayati Magufuli katika simu zao na wengine hata vijana wao.
Hata maoni ya baadhi ya wazungu katika magazeti mbalimbali ya Ulaya kama Daily Mail wametoa salamu za kumtambua Magufuli kuwa alikuwa kiongozi wa kipekee aliekuwa na nia dhabiti ya kuikomboa nchi yake.
Na hata mzungu mmoja kwenye twitter ameuliza kuhusu maoni ya bwana mmoja aitwae Vava Tampa mwezi ulopita katika gazeti la Guardian la Uingereza.
Katika kichwa cha maoni yake hayo alisema"
It's time for Africa to rein in Tanzania's anti-vaxxer president".
Kuna kitu chaitwa Global Movement na chafadhiliwa na mfuko wa Bill na Melinda Gates.
Tampa anaanza kuuliza katika makala yake hiyo kwamba "What is wrong with President John Magufuli? Many people in and outside Tanzania are asking this question".
Makala hiyo ilitoka terehe 8 February 2021.
Mengine ni kuchambua upi mchele na yapi makapi.
Sukuma land ndo msumaa umezima hivyo.Kama alikosa teuzi ndo basi hivyo.
Afrika ipi iliyoanza kumtilia maanani wakati hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clown, na misimamo yake ya hovyo kuhusu Corona na chanjo, ushirikiano na jamii ya kimataifa, nchi zote zimeagiza chanjo isipokuwa Tanzania na Burundi, hii inakupa picha kuwa Magufuli alikuwa na influence Africa au hata Africa Mashariki tu?
Hata Burundi tu ambao ndio kama rafiki yake waliokuwa wamebaki kama rafiki yake walikuwa wameshaanza kumpuuza, hadi wakapiga marufuku mahindi yetu.
Tanzania ina umuhimu gani kwenye siasa za dunia hadi Magufuli aonekane tishio?
😂😂😂😂🤣hata majirani wetu tu hapo walikuwa wakimuona clow
Paskali inabidi ukasaidie vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuhusu hili jambo linalopangwa na Marekani, ila nawaza tu kwamba Tanzania ni Tishio sana kwa nchi kubwa duniani mpaka Marekani atuwazie jambo bata, labda tunakaribia kuwa super power
Ulichokiongelea hakina ukweli wowote umekiweka zaidi ki conspiracy na hatuna potential yeyote itakayomfanya Marekani aje hapa kama alivyo huko Syria na kwingineko na hapa unajaribu kutengeneza imani flani hivi kwamba aliyekufa tumweke doubt kwamba kuna nyuma ya pazia kifo chake kwamba kuna watu, au mtu (mabeberu) amehusika.
Tuachane na siasa mbona Tundu lissu yupo hai leo na kuna attempts za kumuuwa zilifanyika zikashindikana. Siku ikifika huna ujanja let the weak dies and the strongest survive
Halafu jua kwamba dunia ya sasa watu wengi huendeshwa na hisia zao na sio akili zao.
Dada wahi dom utapata hata posho usukume siku, Mungu fundi meko yuko aheraa
Nasimama upande wako Mkuu, umeongea Points sana
Alisema mwandishi habari mmoja nguli hapa nchini, Mtu asiyesamehe ni kiumbe dhaifu, na viumbe dhaifu ((wasiosamehe) na wenye visasi na chuki kwa wengine) hufa mapema ili wapishe viumbe shupavu vitawale dunia hii ambayo tulipewa na Mungu tuitawale, Ukitaka kuishi maisha marefu Jifunze kusemehe,
lakini pia Samia Suluhu Hassan alisema, Ukisemwa vibaya na watu wengi maisha yako yatakuwa matatani na utakufa hima.
Kuna ulinganisho hapo umeuwona?Chief!!! Kweli unalinganisha Tanzania (JMT) na Syria?!? Kweli?!
Muumba Simama!
Mpaka huu umri ulionao unashindwa kujua aina kifo kama ni chakujitakia ama laa..Mbona mnamtisha mheshimiwa Rais Madam Samia na kifo!? Tena cha Karma?!?
Mnatupa nafasi tufikiri uwenda hata cha JPM kilikua sio mapenzi ya Muumba!!
Shauri zenu!!!
Mpaka huu umri ulionao unashindwa kujua aina kifo kama ni chakujitakia ama laa..
Haupo serious
Vipi kuhusu rambirambi watu wametoa maana watu wa kagera hawaja sahau kuhusu tetemekoJiwe kafa kwa kiburi chake cha kudharau Corona, yeye na Nkurunzinza ndio marais pekee waliojifanya hawajali protocol za kiafya kuhusu Corona na wameondoka, Marais wenye akili Timamu kama Museven, Kagame na wastaafu wengine japo ni wana umri mkubwa kuliko jiwe wamefuata masharti yao na bado wanaishi
Pole sana MATAGA kw kumpoteza Mungu wako, alikuwa na kiburi na kujitia mjuaji sana
What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana baada ya Samia kuapishwa na kuwa rais wa JMT, Makamu rais wa US, kamtumia Salaam za pongezi bila hata pole ya msiba wa mpendwa wetu Magufuli?!.
Yaani tupate msiba, wasitupe pole, tuapishe rais mpya, watupe pongezi tuu bila pole ya msiba!. Hii imekaaje?!.
P