Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #21
Nakuja pm mkuu.ahaaNaipataje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja pm mkuu.ahaaNaipataje mkuu
Jamani pm nakupa namba mkuuKwahiyo tuendelee kuwasiliana na hizi fake I'ds? Sasa hata namba ya simu hakuna, nitumie pc 6.
Nimeweka tajiriMbona hujaweka mawasiliano yako ndugu Afisa Masoko?
Nimeweka bossweka samba mako ya simp sasa watu wanakupataje
Nishaweka bossKwahiyo tuendelee kuwasiliana na hizi fake I'ds? Sasa hata namba ya simu hakuna, nitumie pc 6.
Atakae kutongoza niambie nimalizane nae ktk namna isiyoeleweka!Nishaweka boss
0764225747
Ulisha toka ughaibuni mkuu?Ukiuza zenye solar uweke hapa
Maana kwa umeme wetu huu, wabongo wanasubiri umeme ukate tu wafanye yao
Mbongo ana mbinu kuzidi sheitani
Hyo namba ya boss .watamtongoza? Namba ya kuweka oda hyoAtakae kutongoza niambie nimalizane nae ktk namna isiyoeleweka!
Mamtu humu ni ya hovyo ni dungadunga hayaelewi huwa!Hyo namba ya boss .watamtongoza? Namba ya kuweka oda hyo
Hata simu mkuuHiyo lazima uconect na PC
Waje Tu tutaelewana haaaMamtu humu ni ya hovyo ni dungadunga hayaelewi huwa!
Naipataje bosRudisha heshima na adabu nyumbani kwako. Watu waache kukaa kizembezembe
Leo tunakuletea offer kabambe ya mwaka mpya
Camera ni elfu 30 ukichukua anzia pc 3. PC moja ni elfu 30
Ni rahisi kutumia na unaiweka sehemu yoyote kama Ile bulb ya kawaida
Unaweza kuconnect kwenye simu zaidi ya moja
Ina mic na speaker ya kuwasiliana pande zote mbili yaani unaweza kuongea na mtu aliyeko karibu na camera
Full high definition of hd clear video
Unaweza ukaigeuza kwenye angle zote unazoitaji kuona.mzunguko huo utaucontrol kupitia app ya simu yako
Inaonesha clear hata usiku
Unaweza ukaweka memory card na kurecord matukio yote wewe unakuja kuangalia baadae
Inafaa nyumbani ,dukani ,ofsini etc
Mikoani tunatuma kwa uaminifu kabisa
Fanya kuwahi ziko chacheee
Mawasiliano 0764225747
Pia kwa wale wanaotaka inayotumia solar. Pc 160,000 nimeambatanisha picha pia. Wakuu
Nicheki kwa simu boss nikitumieNaipataje bos
uelewane na nani ntakudunda nawewe...!Waje Tu tutaelewana haaa
Life is beautiful 😍
Kivip tupe ufafanuz hatujuiHata simu mkuu
Nirudi kwenye No reform etiUlisha toka ughaibuni mkuu?
Hizi sasa ndio natafuta niwafungie homeZipo boss ni 160,000 hapa nimeweka za bei nafuu
Ila zipo za kumwaga