rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
SawaSawa ila nilichokiandika sijabahatisha.
Kutembea na silaha sio lazima , unaweza kuziacha kwenye base ila foleni inakuwa kubwa na inakuwa na paperwork za kutosha na kusubiri kwingi ili kukabidhisha.
Niliwahi kuongea na wadada ambao waliserve IDF for 24 months nadhani ni sheria ya huko kupita jeshini (sina uhakika), na ndio walionithibitishia hilo.
Bila kusahau hizo guns hazina magazine.Ninavojua they are in active military. Na sio kwamba ni lazima wabebe silaha muda wote. Kuna mawili either urudishe silaha kwenye armory wakati unaondoka kwenye base siku ya ijumaa au utembee nayo popote weekend. Sasa foleni ya kuzirudisha hiyo siku zinakuwa ndefu sana hivo wengi kuamua kuzibeba weekend yote wakiwa nje ya base.
Cc. Proved, T14 Armata
Bado sijakupata mpenzi. Umemaanisha nn kusema wapo kwenye active militaryNinavojua they are in active military. Na sio kwamba ni lazima wabebe silaha muda wote. Kuna mawili either urudishe silaha kwenye armory wakati unaondoka kwenye base siku ya ijumaa au utembee nayo popote weekend. Sasa foleni ya kuzirudisha hiyo siku zinakuwa ndefu sana hivo wengi kuamua kuzibeba weekend yote wakiwa nje ya base.
Cc. Proved, T14 Armata
Sijui kiswahili chake fasaha ila ni kama wanatumikia jeshini.Bado sijakupata mpenzi. Umemaanisha nn kusema wapo kwenye active military
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimekusomaSijui kiswahili chake fasaha ila ni kama wanatumikia jeshini.
Ninavojua they are in active military. Na sio kwamba ni lazima wabebe silaha muda wote. Kuna mawili either urudishe silaha kwenye armory wakati unaondoka kwenye base siku ya ijumaa au utembee nayo popote weekend. Sasa foleni ya kuzirudisha hiyo siku zinakuwa ndefu sana hivo wengi kuamua kuzibeba weekend yote wakiwa nje ya base.
Cc. Proved, T14 Armata
Dada hakuna nchi duniani inakua na foleni katika kurudisha silaha amara maana kila kikosi kina vitu vinaitwa coy na kila coy au kombania ina amara zake, na kwa siku kikosi kisima wanaoingia zamu hawawezi kufika mia so hiyo foleni sijui ya namna gani hadi watembee na silaha mtaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Otherwise mniambie ni Photoshop....Yaani mtu ana beba silaha kama mkoba.