Mkuu hii nimeipenda sana! Ni nzuri na inaleta faraja pale ambapo unaweza kumfanya mama akajiona special kwa kidogo ulichonacho.... Mama ni mama jamani... Kama unanafasi ya kumonyesha mama jinsi gani unampenda bora ufanye hivyo manake maisha yenyewe mafupi haya jamani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.