Tetesi: Segerea kumekucha,vikao vya kumng'oa Bonnah vimeanza

Tetesi: Segerea kumekucha,vikao vya kumng'oa Bonnah vimeanza

Moz Gamer

New Member
Joined
Jul 18, 2019
Posts
4
Reaction score
4
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.
32d6eb50-2134-4e79-bfb7-abafea1d492e-original.jpeg
 
Tatizo Nini kwani ubunge ni himaya ya mtu yeyote ya milele? Aweza gombea yeyote .Ni miaka mitano tu kikatiba akitokea mwingine kutaka nafasi yoyoye Sio kesi.Wanaotaka nafasi yeyote waendelee tu na vikao viwe vya Siri au wazi uchaguzi ni mwakani muda mfupi ujao.Ni haki yao.Hakuna mwenye hatimiliki baada ya miaka mitano
 
Tatizo Nini kwani ubunge ni himaya ya mtu yeyote aweza gombea Sio.lazima uwe mtu awe mgombea wa kia kipindi .Ni miaka mitano kikatiba akitokea mwingine kutaka nafasi yoyoye Sio kesi.Wanaotaka nafasi yeyote waendelee tu na vikao viwe vya Siri au wazi uchaguzi ni mwakani muda mfupi ujao.Ni haki yao.Hakuna mwenye hatimiliki baada ya miaka mitano
Lkn wakina Membe wakianza kuonyesha nia mapema wanapigwa PIN fasta tu.

Unafiki ni kazi sana.
 
Hiyo rangi kwenye midomo kapigia gereji ipi, maana naona ni metaliki hiyo.

Anyway, kama ameamua kuingia kwenye kinyanganjiro, basi mwache tu, wapigakura ndo watakao amua kama wanamtaka au la, ubaya utakuja tu pale haki ya wapigakura itaporwa.
 
Hiyo rangi kwenye midomo kapigia gereji ipi, maana naona ni metaliki hiyo.
Anyway, kama ameamua kuingia kwenye kinyanganjiro, basi mwache tu, wapigakura ndo watakao amua kama wanamtaka au la, ubaya utakuja tu pale haki ya wapigakura itaporwa.
Katiba ya nchi na vyama vinatambua miaka mitano tu Hiki Ni kipindi Cha Kila anayetaka post yeyote kujiandaa bila woga Wala hofu yeyote uchaguzi mwakani na hakuna mwenye hati miliki kuwa lazima awe yeye kwenye post zozote za kuchaguliwa.Bona Kalua awe mpole tu
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Hafai kamsaliti mume wake sembuse raia
 
Act..Chadema wakitulia jimbo hilo lipo wazi kwao.

Chadema walijifigisu wakadai wameibiwa kura.
 
Tatizo Nini kwani ubunge ni himaya ya mtu yeyote ya milele? Aweza gombea yeyote .Ni miaka mitano tu kikatiba akitokea mwingine kutaka nafasi yoyoye Sio kesi.Wanaotaka nafasi yeyote waendelee tu na vikao viwe vya Siri au wazi uchaguzi ni mwakani muda mfupi ujao.Ni haki yao.Hakuna mwenye hatimiliki baada ya miaka mitano
Ila URAIS hko chichiem noooo au!

Ova
 
Hiyo rangi kwenye midomo kapigia gereji ipi, maana naona ni metaliki hiyo.

Anyway, kama ameamua kuingia kwenye kinyanganjiro, basi mwache tu, wapigakura ndo watakao amua kama wanamtaka au la, ubaya utakuja tu pale haki ya wapigakura itaporwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Linaonekana kishankupe haswaaa

Ova
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Nilidhani wanahujumu kazi za mbunge kumbe ni kujipanga kugombea uchaguzi ujao? Wabaya ni wale wanaohujumu kazi za kiongozi aliyepo ili kujinufaisha kisiasa.
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Dada mbona una haraka? Subiri muda ukifika Mh.Polepole atapiga kengere
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530

Acha fitna chapa kazi jimbo unalo ni hofu yako tu mhe na leo furaha mzee kaapishwa mambo ni motooooo
 
Nilidhani wanahujumu kazi za mbunge kumbe ni kujipanga kugombea uchaguzi ujao? Wabaya ni wale wanaohujumu kazi za kiongozi aliyepo ili kujinufaisha kisiasa.
Daktari gani wewe mwenye uelewa mdogo wa kuchambua mambo! ?
 
Ndio yule aliyekatwa ujumbe wa Yanga kwa kuchana picha ya JPM.

 
Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.
Wote hao bado hawajakidhi sifa
Huyo kevela kazi yake kukamata gari hovyo ukishusha tu mtu,YONO wamekudaka
Yahitaji moyo sana kumng'oa mbunge active kama Bonnah
 
Back
Top Bottom