Tetesi: Segerea kumekucha,vikao vya kumng'oa Bonnah vimeanza

Tetesi: Segerea kumekucha,vikao vya kumng'oa Bonnah vimeanza

Wasijichanganye kabisa. Hili ni jimbo la Julius Mtatiro kama atagombea atashinda kwa kishindo. Hawa wengine wasipoteze muda wao
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
ANAPOTEZA MUDA MWAMBIEN CCM YA SISI ACHAGULIWI MTU KWA SURA..HAHAAA MDADA ANAJIDANGANYA KWA BONNAH HATA NUSU AINGIIII WEKENI CV YAKW MCHEKE
 
jamani kutangaza nia ya kugombea siyo tatizo maana inatakiwa kutangaza nia na kuonyesha mikakati yake ili sisi raia wa kawaida tuweze kulinganisha na aliyopo madarakani na wakati ukifika tutajua ni yupi anayefaa zaidi,mbona Marekani uchaguzi ni mwakani lakini wanajiona kuwa wanafaa kwenye nafasi yeyote wanajitokeza na kutoa sera zao mpaka kiti cha uraisi na wala hamna shida yeyote?
 
Hiyo ni sawa na kupiga ngumi jiwe!!

Kwa uchache wanajisumbua
 
Ndio yule aliyekatwa ujumbe wa Yanga kwa kuchana picha ya JPM.

Screenshot_20190723-100407.png
KAZII IPOOOO ASAHAUU TU
HATA HVYOOO VYEOOOO ALIVYONABYO VINAMTOSHA
 
Wamwacheee bonnah....
Muonekano wake tu mjengoni tosha
Hayo mambo ya jimbo kutaka maendeleo.... Mtajijuaa Wananchi hko
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Twende na Bonnah Mpwa
Mashallah kile kichwa UWEZI fananishaa naahaoo wapiga KELELE WA chama wakisubiriaa huruma za VIONGOZI kuteuliwa
Bonnah Kwanza
 
Twende na Bonnah Mpwa
Mashallah kile kichwa UWEZI fananishaa naahaoo wapiga KELELE WA chama wakisubiriaa huruma za VIONGOZI kuteuliwa
Bonnah Kwanza
Mm mpinzani ila lazima niende na bonnah
Kumwona tu mjengoni nafarijikaaa sana [emoji23][emoji23]

Ova
 
Hawaaaa mkuuuuu
Mdadaaa ana akilisanaaa ACHA mwonekano tuuuu mashallah
Atupeleki. Ma......Bungeni
Mm mpinzani ila lazima niende na bonnah
Kumwona tu mjengoni nafarijikaaa sana [emoji23][emoji23]

Ova
 
WEKENI CV YAKE HUYO BINTI NAE
NIKIMAANISHANATUPELEKI....BUNGENI
Screenshot_20190723-102839.png
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Huyu nikimuangalia hata paji la uso naona kama akili zako, hazipo vizuri sana. Yaani hana ile IQ kubwa. Sio mtu wa kumtegemea kutoa ushauri. Yaani kama iyo segerea CCM wanamtegemea huyu basi huko mazuzu ni wengi sana. Nashauri wenye akili ingia CCM ili msiruhusu mazuzu wawatawale.
 
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.

Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.

Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
ALIKUWA MPIGA DEBE MZURI WA BONNAH KUMBE ANAUNYATIA NA YEYE LOH
CCM MSIKOSEE KWA HILO
CHAMA KWANZA MENGINE BAADAE
 
jamani kutangaza nia ya kugombea siyo tatizo maana inatakiwa kutangaza nia na kuonyesha mikakati yake ili sisi raia wa kawaida tuweze kulinganisha na aliyopo madarakani na wakati ukifika tutajua ni yupi anayefaa zaidi,mbona Marekani uchaguzi ni mwakani lakini wanajiona kuwa wanafaa kwenye nafasi yeyote wanajitokeza na kutoa sera zao mpaka kiti cha uraisi na wala hamna shida yeyote?
 
WEKENI CV YAKE HUYO BINTI NAE
NIKIMAANISHANATUPELEKI....BUNGENIView attachment 1160231
Kwamba Bonnah 2007 alisoma certificate in IT hapo UD then 2008 akafanya bachelor in Computer Science.?Hii ni aina ya elimu ya namna yake nadhani.

Hii CV ungeiondoa to boss,utamuaibisha mh. Mbunge wakianza kumchokonoa hapa.
 
Huyu kuwpo tu yatosha
Wananchi wanafarijika [emoji23][emoji23][emoji23]
Tena asipige kampeni mtamchomsha Bure

Ova
HAPOOO UTAUA WATU MKUU
KUNA WATU WAKO KWA AJILI YA UCHAGUZI KUPIGA HELA WANATAMAN CHAGUZI ZIWE KILA SIKU
 
Back
Top Bottom