Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ANAPOTEZA MUDA MWAMBIEN CCM YA SISI ACHAGULIWI MTU KWA SURA..HAHAAA MDADA ANAJIDANGANYA KWA BONNAH HATA NUSU AINGIIII WEKENI CV YAKW MCHEKETunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.
Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.
Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Ndio yule aliyekatwa ujumbe wa Yanga kwa kuchana picha ya JPM.
Uchaguzi wa Yanga usinigombanishe na JPM: Palina Conrad
*UCHAGUZI WA YANGA USINIGOMBANISHE NA JPM- PALINA CONRAD* Leo ni siku ambayo naweza sema nimepokea simu nyingi na jumbe fupi kutoka kwa watu mbali mbali ambao wengine nilikuwa sijawahi kuwasiliana kwa muda hadi nikawa naiogopa simu yangu wengi walinishangaa kwa taarifa iliyotolewa kwa waandishi...www.jamiiforums.com
ANDIKA URITHI MAPEMAA MKUU USIWATESE NDUGU KWENYE MIRATHIMi najipanga panapo majaliwa 2025 lzm nilete uzushi kwenye jimbo langu,liwalo na liwe.
Nalog off
Twende na Bonnah MpwaWamwacheee bonnah....
Muonekano wake tu mjengoni tosha
Hayo mambo ya jimbo kutaka maendeleo.... Mtajijuaa Wananchi hko
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
CCM MPYA HIII MKUUKwani mtatiro halihutaji pia hilo jimbo?
Mm mpinzani ila lazima niende na bonnahTwende na Bonnah Mpwa
Mashallah kile kichwa UWEZI fananishaa naahaoo wapiga KELELE WA chama wakisubiriaa huruma za VIONGOZI kuteuliwa
Bonnah Kwanza
Mm mpinzani ila lazima niende na bonnah
Kumwona tu mjengoni nafarijikaaa sana [emoji23][emoji23]
Ova
Huyu nikimuangalia hata paji la uso naona kama akili zako, hazipo vizuri sana. Yaani hana ile IQ kubwa. Sio mtu wa kumtegemea kutoa ushauri. Yaani kama iyo segerea CCM wanamtegemea huyu basi huko mazuzu ni wengi sana. Nashauri wenye akili ingia CCM ili msiruhusu mazuzu wawatawale.Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.
Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.
Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Huyu kuwpo tu yatosha
ALIKUWA MPIGA DEBE MZURI WA BONNAH KUMBE ANAUNYATIA NA YEYE LOHTunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.
Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.
Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
Kwamba Bonnah 2007 alisoma certificate in IT hapo UD then 2008 akafanya bachelor in Computer Science.?Hii ni aina ya elimu ya namna yake nadhani.WEKENI CV YAKE HUYO BINTI NAE
NIKIMAANISHANATUPELEKI....BUNGENIView attachment 1160231
HAPOOO UTAUA WATU MKUUHuyu kuwpo tu yatosha
Wananchi wanafarijika [emoji23][emoji23][emoji23]
Tena asipige kampeni mtamchomsha Bure
Ova
Ten Years Ago!Umemaliza chuo?!