Kasoro ofisi kubwa? Maana maandalizi sikuhizi yamebatizwa jina UHAINI!Katiba ya nchi na vyama vinatambua miaka mitano tu Hiki Ni kipindi Cha Kila anayetaka post yeyote kujiandaa bila woga Wala hofu yeyote uchaguzi mwakani na hakuna mwenye hati miliki kuwa lazima awe yeye kwenye post zozote za kuchaguliwa.Bona Kalua awe mpole tu
Mhh, umejuaje Kama ni doktaDaktari gani wewe mwenye uelewa mdogo wa kuchambua mambo! ?
Mkuu check pm tafadhali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Linaonekana kishankupe haswaaa
Ova
kwa sisi wataalam wa kusoma picha huyu dada anaonekana anajua anaupepeta sana mdomo,shari nje nje
weka CV yake....ana lips nzuriTunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana.
Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa kuhakikisha Jimbo wanalibeba kutoka kwa Mbunge Bonnah ni Mhasibu wa Shule za Tusiime na Vikao vimekwisha anza na kufanyikia hapo shuleni Tabata, Kuna Mwana Dada anaitwa Palina Ninje (Pichani) huyo ndiyo mastermind mwenyewe.
Wengine wanaofanya vikao ni Scholastica Kevela huyu alipambana na Bonnah hata chaguzi iliyopita, hakika sasa moto umeanza kuwaka.
Tunaona yanayojiri kwenye CCM na huku mtaani nako ni balaa tupu.View attachment 1159530
unachochea kuni kwa dada wa watuHugo palina ni timu MEMBE
Kafananisha majina punguani huyo.Mhh, umejuaje Kama ni dokta
Umemaliza chuo?!Leo natumia PC kupita JF. Hilo Tuu!
bonna yule ambaruti wa mjengoni.
wampore tu,hana volume.
Kwa ukurupukaji huo, inatosha kujua kuwa wewe ni tabula laza.Daktari gani wewe mwenye uelewa mdogo wa kuchambua mambo! ?