Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

Thubutuuu hao wa Iringa na Njombe wote weka mbali na watoto.
Hao Mbona hata tafiti za hivi karibuni zilionesha wanazaba wanaume makofi.

Tafuta kujua zaidi usidanganyike ukaingia mkenge.
Kwanza wengi wachawi na washirikina.

Isipokuwa wasukuma kidogo hapo wanaweza kuwa na afadhali ukilinganisha na hao wengine wote hapo.
 
We jamaa iringa umeishi??
Kule kuna wahehe, wabena, wakinga, nk ni kabila gani hapo utapata pisi??
Mbeya nako pisi ni mbovu ila zina uafadhari na walau zina zigo la kutosha ila iringa ni wembaba, wafupi weusi.
😅😅😅 kweli.
 
Wabena ni watu ambao mwanaume hukawii kutangulizwa ukiwa na mafanikio piti vijijn kwao wajane ni weng sana ndio mana wanaume weng wa ukanda huo wanazamia kwenye pombe sijui nyumb zao zinashida ipi waben nyumba kumi wajane 7 makabur had uwanjani dilisha hl kabur la mumewake hili na maendeleo hawana hawa watu ila kwenye kutafuta pesa utachoka wewe wakiingia kazin saa moja hata kula ya mchana hawajui mpaka jion wao kaz kaz
 
Wanawake poa sana wako pwani.

Tatizo dini yao tu. Uwe muislam mwenzao.

Hawa wavumilivu sana kwa mume na wana utu sana. Tatizo lao uswahili na mdomo tu
Hata FaizaFoxy angekuwa poa sana kama sio udini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…