Rajabmbisha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 316
- 530
Madhaifu yao ni yapi mkuu?Numeishi nao kabisa na kidogo tu nioe huko wako vizuri lakini mchunguze kwanza
Kwanini awe bikra? Je asipokuwa bikra kuna tatizo lipi?Je nirahisi kupata bikra huko mkuu?Oa mkuu lakini awe bikra
😅😅😅 kweli.We jamaa iringa umeishi??
Kule kuna wahehe, wabena, wakinga, nk ni kabila gani hapo utapata pisi??
Mbeya nako pisi ni mbovu ila zina uafadhari na walau zina zigo la kutosha ila iringa ni wembaba, wafupi weusi.
I agreeWanawake poa sana wako pwani.
Tatizo dini yao tu. Uwe muislam mwenzao.
Hawa wavumilivu sana kwa mume na wana utu sana. Tatizo lao uswahili na mdomo tu
Kiufupi wako vizuri sanaMadhaifu yao ni yapi mkuu?
Chimbo gani huko ngara wanapatikana kwa uwingi?Ma bikra wa kutosha sana
Wasambaa ni washirikina sana ila wanejificha kwny mgongo wa dini.Wanawake bora kabisa ,full package jaribu kufika Lushoto ...Pia sio watu kik sana
Watoto wote watakuwa wa ujombaniNenda Kwa kagame ukajitwalie mwali saaafi kbs mutoto murefu rangi Maji ya nn sijui black nn cjui
Ndoa hawaangalii sura pekee, utajutaHuko ulikotaja kuna pisi mbovu kishenzi.
Hivi iringa ukitoa vyuo kuna pisi kali kweli??
Kwann unasema hivyo mkuuWakinga ni sawa na wamachame