Sehemu (frame) kwa ajili ya biashara inahitajika

Sehemu (frame) kwa ajili ya biashara inahitajika

Albedo

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
5,558
Reaction score
1,456
Jamani wana Jamvi naomba kama kuna Mtu anaweza kunisaidia kwa namna yeyote ile kupata Sehemu jijini Dar niweze kufungua Biashara ya Stationery

Eneo liwe ni Potentila kwa Biashara husika yaani Nikipata Maeneo ya Vyuo au Sekondari Nitafurahi

Mwenye nayo au anayewa kunisaidia kupata anaweza kuni PM au akamwaga info hapa hapa

Asanteni
 
Back
Top Bottom