Sehemu gani wanachongesha vitanda vizuri vya mbao Dodoma?

Kuna kitanda nilinunua Discount Centre pale kona ya kwenda Muhumbili Upanga, kilikuwa ready made. Kitanda kitamu sana kile yaani nalala kama Don naamka kama Don.

Dunia ina vitu vizuri sana waliniuzia pamoja na godoro lake la ukweli sana. Kulala mie ni burudani sana natamani nikipate kingine niwanunulie wanangu nao waone mema ya dunia
 
Wakuu sehemu gani Dodoma wanachongesha vitanda vizuri quality vya mbao kama vile mninga au mkongo?
Agiza kutokea Goweko,Tula,Nyahua..kwenye njia ya Treni

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Njia ya kupita Itigi kuelekea Tabora,siyo mbali..kinapakiwa kwenye gusi tu hapo fasta kinafika,kama una mtu Manyoni mwambie akusaidie maana wale mafundi kuchonga wa pale wana network kubwa ya huko na huko ndo kuna mbao ngumu kama hivyo muninga,lakini ukinunua muninga kwa huko mjini bei yake ujipange,ila kama mfuko uko mzuri unachezaga na ma per diem it's ok boss
Goweko ni wapi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Poa poa mkuu
 

Acha maneno mingi boss! Tuwekee picha ya hicho kitanda tukione. Isije ikawa ni kitanda cha chuma!! Watu wa Dar mna mambo mengi sana nyinyi!!☺
 
Vipi inahimili mikikimikiki ya mechi za mchangani! Ubora wa kitanda naupima kwa mechi .
 

Kitanda hicho kitakuwa ni kimetokana na mbao zinazotupwa pale mortuary halafu jamaa wana recycle na kutoa majeneza upya au vitanda poa
 
Kitanda hicho kitakuwa ni kimetokana na mbao zinazotupwa pale mortuary halafu jamaa wana recycle na kutoa majeneza upya au vitanda poa
Kiko fresh sana hakina kelele nachakatia tu michakato
 
Weka picha tukione
Siwezi kuweka picha kuna watu waliofika nyumbani wanaweka kung'amua codes. Ukija Dar tembelea pale discount centre Upanga utaona sample ya vitanda vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…