VENTURECACHER
Member
- Oct 24, 2011
- 38
- 8
- Thread starter
-
- #21
Mkoa wa dar es salaam. Mlionijibu ovyoo mtakujaa na matatzo yenu tutashindwa kuwapa ushauriii!!! Muoshaa huoshwaa piaa !!!!! [emoji26][emoji26][emoji26]Msaada sehemu nzuri ya kuwezaa kutoka out kupumzikaa mazingira yawe kma garden au hotel ya bei ya kawaidaa msaada tafadhaliii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hivyo vi piranha vitakua na miba balaa kama manzi ndio sista duu hapo hali kitu.We mpeleke Mbuyuni kwenye chocho kunakopatikana viperege vya kukaanga (vi piranha) na ndizi za buku 3 mnashiba vizuri mkishushia na pepsi baridi mnaenda kukazana mpaka mda wa kuagana.
Acha kujifanya wa kishua, Hotel na garden resort nyingi zimefungwa kwa sasa. Epuka gharama...epuka Covid 19!
Maswali ya kiwaki huwa yanajibiwa kiwaki.Mkoa wa dar es salaam. Mlionijibu ovyoo mtakujaa na matatzo yenu tutashindwa kuwapa ushauriii!!! Muoshaa huoshwaa piaa !!!!! [emoji26][emoji26][emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa na mwamba anakula tu. Pilipili nyingi hivi! Akiwa na bishoo lazma ambwande 🤣Hahaha hivyo vi piranha vitakua na miba balaa kama manzi ndio sista duu hapo hali kitu.
Hahaha hivyo vipiranha vinakuwaga vitamu sana aseeAkiwa na mwamba anakula tu. Pilipili nyingi hivi! Akiwa na bishoo lazma ambwande 🤣