Sehemu nzurii ya kutoka out na mwenzi msaada

Sehemu nzurii ya kutoka out na mwenzi msaada

We mpeleke Mbuyuni kwenye chocho kunakopatikana viperege vya kukaanga (vi piranha) na ndizi za buku 3 mnashiba vizuri mkishushia na pepsi baridi mnaenda kukazana mpaka mda wa kuagana.

Acha kujifanya wa kishua, Hotel na garden resort nyingi zimefungwa kwa sasa. Epuka gharama...epuka Covid 19!
Hahaha hivyo vi piranha vitakua na miba balaa kama manzi ndio sista duu hapo hali kitu.
 
Hebu mtulie huko corona ipite kwanza
 
Back
Top Bottom