sehemu pa kupata scholarship

sehemu pa kupata scholarship

oluku

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
350
Reaction score
71
habar za kutwa wadau. Tafadhal naomba mnielekeze namna ya kupata scholarship kwa ajili ya kusoma masters katika chuo cha hapa nchini. yaani nimepata admission mzumbe ila uwezo wa kifedha sina, je kuna taasisi za ndani au nnje nakoweza kupata scholarship? msaada wenu wakuu.
 
Back
Top Bottom