Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nauliza tu kwa Nia njemaa
WAPENDWA
Mm na sehemu kawe tatu za BIASHARA nimekodisha
KILA ukifika wakati WA KULIPA kodi nkatumiwa msg za MATAPELI NDUGU....jitahidi basi tulipane Kodi yetu na natumiwa kwenye line mbili tofauti
Haitoshii
Na VYUMBA napangisha airport
Yaani wapangaji wannenkati ya saba
KILA ikifika wakati na siku wanayotakiwa kulipa Kodi
WAPENDWA wanapiga siku kaka .didy nimeona msg yakoo una namba nyingine
Nikawambia hao MATAPELI m situmagi msg kwa mpangaji mpaka mwezi UISHE nakufwata
Nimekaa najiuliza..kwangu mm kwanza
Hawa WATU wanajuaje huu ndio mda wakulipa Kodi
Niliwaza ya wapangaji wangu airport wamefika wananiulixa kaka Kwan Hawa MATAPELI wanajuaje huu NDIO mda wakukulipa
Nkaenda kuwaonyesha msg xangu nilixotumiwa wakacheka wakachoka
Yaani hii nchi tuna mwendoo sana kulinda mawasiliano yetu
Yaani naamini Hawa kuna WATU kwenye kampuni za mitandao wanasoma msg zetu WANAJUA huyu mda huu WA malipo wanawajuza wahuni wao wanatuchekecha
Inasikitisha sanasanaaa
WAPENDWA
Mm na sehemu kawe tatu za BIASHARA nimekodisha
KILA ukifika wakati WA KULIPA kodi nkatumiwa msg za MATAPELI NDUGU....jitahidi basi tulipane Kodi yetu na natumiwa kwenye line mbili tofauti
Haitoshii
Na VYUMBA napangisha airport
Yaani wapangaji wannenkati ya saba
KILA ikifika wakati na siku wanayotakiwa kulipa Kodi
WAPENDWA wanapiga siku kaka .didy nimeona msg yakoo una namba nyingine
Nikawambia hao MATAPELI m situmagi msg kwa mpangaji mpaka mwezi UISHE nakufwata
Nimekaa najiuliza..kwangu mm kwanza
Hawa WATU wanajuaje huu ndio mda wakulipa Kodi
Niliwaza ya wapangaji wangu airport wamefika wananiulixa kaka Kwan Hawa MATAPELI wanajuaje huu NDIO mda wakukulipa
Nkaenda kuwaonyesha msg xangu nilixotumiwa wakacheka wakachoka
Yaani hii nchi tuna mwendoo sana kulinda mawasiliano yetu
Yaani naamini Hawa kuna WATU kwenye kampuni za mitandao wanasoma msg zetu WANAJUA huyu mda huu WA malipo wanawajuza wahuni wao wanatuchekecha
Inasikitisha sanasanaaa