mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,753
Umeishawahi kukutana na changamoto zipi sehemu unayofanya kazi mpaka ukatamani kuacha, Kisa; kuna jamaa yangu anafanya kazi mwaka wa6 sasa kampuni flani ila hafurahii kazi, kwa muda wote huo anafanya nafasi hiyohiyo hapandi daraja, haongezwi mshahara na anafanya kazi sana (multitask), boss wake ni wa kike, mara nyingi recommendation zikitoka jamaa apewe nafasi flan yeye ndio huweka Uzibe, hiyo imekuwa kwa wakti wote, mpaka jamaa anajiuliza amekosea wapi.
Ilishatokea wakati nafasi anatakiwa azine yy sababu mzoefu ila akaletewa mtu mpya amfundishe ndio amuongoze, jamaa akapiga moyo konde maisha yakaendelea, boss wake amekuwa akimstress sana jamaa, imefikia mpk akiomba kaz sehemu zingine boss akijua anaenda kuziba (direct and indirect) hapa mnanielewa nkisema Indirect, na jamaa na boss wala hawajawahi kuzinguana, kutongozana,kumtaka, na boss humchekea jamaa, ila ndio michezo yake kuziba hata kwa wengine.
Pia jamaa ashafanya usaili sehemu nyingi ila anakosa last time alifanya usaili sehemu flani, wakamuuliza uko tayari kuanza lini na kiasi gani tukupe cha ajabu majibu yakaja kapigwa chini, sasa hapo alipo alishapachoka kwa kuwa kakaa muda mrefu sana watu wanakuja wanamkuta wanamuacha na wengine hupata offer nono sehemu zingine, kashaomba kazi sehemu zingine mpaka kachoka, usaili hufanya ila anakosa, stress ndio zinazidi, kuna muda anaona home ni sehemu salama kuliko kazini japo muda wote yy huwa humble.
Nyinyi mnaokutana na situation hizi huwa mnawezaje kukabiliana nazo?
Ilishatokea wakati nafasi anatakiwa azine yy sababu mzoefu ila akaletewa mtu mpya amfundishe ndio amuongoze, jamaa akapiga moyo konde maisha yakaendelea, boss wake amekuwa akimstress sana jamaa, imefikia mpk akiomba kaz sehemu zingine boss akijua anaenda kuziba (direct and indirect) hapa mnanielewa nkisema Indirect, na jamaa na boss wala hawajawahi kuzinguana, kutongozana,kumtaka, na boss humchekea jamaa, ila ndio michezo yake kuziba hata kwa wengine.
Pia jamaa ashafanya usaili sehemu nyingi ila anakosa last time alifanya usaili sehemu flani, wakamuuliza uko tayari kuanza lini na kiasi gani tukupe cha ajabu majibu yakaja kapigwa chini, sasa hapo alipo alishapachoka kwa kuwa kakaa muda mrefu sana watu wanakuja wanamkuta wanamuacha na wengine hupata offer nono sehemu zingine, kashaomba kazi sehemu zingine mpaka kachoka, usaili hufanya ila anakosa, stress ndio zinazidi, kuna muda anaona home ni sehemu salama kuliko kazini japo muda wote yy huwa humble.
Nyinyi mnaokutana na situation hizi huwa mnawezaje kukabiliana nazo?