Sehemu ya kujiachia Dar es Salaam

We ni mbaguzi wa salamu... Khaaa!!

Nimeisubiria salamu yako mpaka nimekoma...

Ngoja nijipendekeze tu, maana hamna namna tena...

Heri ya mwaka mpya joanah
Hahahhhh
Tatizo kila nikikufata kule PM unanikaushia tu
Mwisho nikajua huu ni ubaguzi wa mbili mbali wacha niwape salamu ninaowaona katika threads

Heri ya mwaka mpya mkuu Asprin(nasubiri kuchuniwa na hapa[emoji28] )
 
Hahahhhh
Tatizo kila nikikufata kule PM unanikaushia tu
Mwisho nikajua huu ni ubaguzi wa mbili mbali wacha niwape salamu ninaowaona katika threads

Heri ya mwaka mpya mkuu Asprin(nasubiri kuchuniwa na hapa[emoji28] )
I only trust you
Yes you
You and only you joanah 🙄

Hebu njoo PM kisiriaz sasa....
 
Mkuu andaa kama laki tano mpeleke lamada kule mbezi beach hutajutia uamuzi wako kuazia breakfast mta swim then mnapiga lunch mpaka saa tisa hivi utakua umeishamtafuna
SAMAHANI HIYO LAKI TANPO INAISHA AU CHENJI INABAKI ZAIDI YA LAKI TATU...!?🙂
 
Fika Kawe maeneo ya Mnyamani waulize wenyeji wakuoneshe mitaa ya Kawe mzimuni wallahi Hutajuta||
Hahahahhaa... Kawe mzimuni ndo iko karibu na wapi mkuu? Nakaa Kawe ila sijawahi kusikia hilo eneo.
 
777 naijua ya Arusha, Sea cliff kwa nje tu but ctasita kuja ukinipa mwaliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…