Sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro inaungua moto!

Sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro inaungua moto!

Sehemu ya Msitu uliopo Mlima Kilimanjaro unateketea kwa moto.

20201011_221217.jpg
 
Habari mbaya hii!

Sijui tuna zana na vifaa vya kutosha kukubaliana na huo moto hasa kama ni mkubwa!
Third world countries zinanunua magari ya maji sio ya kuzima Moto Bali ya kuwamwagia maji washa washa raia ambao ni walipakodi Tena wasio na hatia.

Eti tu ni washabiki wa vyama vya upinzani.

Kama unaweza kuingia ndani ya ubongo wa third world country leaders kwa kweli unaweza kushangaza.
 
Sio mlima Kilimanjaro ni pembeni mzee, Mawenzi.

Kwa tulio karibu tunatazama vizuri hapa.
 
Labda TANAPA wapige simu Kigali waazime ile Helicopter zimamoto iliotumika kuzima moto boader ya Rusumo . Otherwise hata mlima wenyewe utashika moto.
 
Taarifa zilizopo na kuthibitishwa na Shirika la hifadhi (TANAPA), zinaeleza kuwa kuna moto umezuka usiku katika hifadhi ya Mlima mrefu kuliko yote Afrika, Kilimanjaro.

Kwa sasa jitihada zinafanyika kuuzima na taarifa zaidi kukujia.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Jua ni kali linatuwakia sehemu kubwa ya nchi hii na serikali imekaa kimya kabisa leo siku ya nne. Tusubiri hii ya moto labda watatoa tamko 😢😢😢 I am tired
 
Tunashukuru sisiem kwa kutuletea moto maana baridi ilizidi.
 
Upepo mkali ukisaidiwa na wale wanaochoma moto misitu hayo ndio matokeo yake.

Serikali ya CCM imeshindwa kushusha bei ya gesi, matokeo yake ndio haya, CCM must go.
Huyu unayefikiria kumpa Kura yako hana hata mawazo ya huo mlima, yeye anawaza madini na kutetea faragha ya chumbani haijalishi ni jinsia moja au vinginevyo, haya mengine ni kuwarubuni mumpe kura basi
 
Huo moto huwa unatokea tokea zamani nikiwa mdogo.

Ulikuwa ukiwaka tu wazee akiwemo Mzee wangu walikuwa wanapanda kwenda kuzima. Walikuwa na moyo wa uzalendo wa kweli.
 
Msimu wa uvunaji wa asali, hata misitu ya mlima Pare (safu za milima ya usamba) nazo huwa inapofika msimu huu wa mwaka hupata changamoto za mioto.
 
Back
Top Bottom