Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisikia mikadi beach kitu kama icho ila pwezi nimeona kabisa na nimeshawai kulenga.Kama wapi kwingine?
Watu wanafanya kama biashara na Kuna watu kibao mpaka raha ..Huo mchezo kwa sasa umeingia sana zunguka kule kigamboni wamejengea kabisa
Hakuna Maeneo Holela
Mengi Humilikiwa Na Majeshi Siyo Mtu Anaweza Kuweka Eneo Tu
Maana Kuna Ishara Kunapokuwa Na Ulengaji Huwekwa
nilitaka nikalenge ila waliniudhi jamani, beach ina kiingilio unawapa ef 5 halafu alfu mbili ndio unachuku kitu chochote huko ndani nayo inakidhi maji ya dasani madogo [emoji1787] hamna kitu sikipendi kama maeneo wanayojifanya wana viingilio.. mtu mpaka ametoka kwake inamaana anataka kuspend sasa viingilio vya nini? halafu bei zao utasema Hotel ya nyota 5 kumbe utopolo...Kuna pweza pale kigamboni unalenga chupa ...Risasi kumi kwa elfu tatu au nne ndo napahafamu ila naona sehemu kibao wanafanya imekuwa dili ni starehe pia.
Wanatumia risasi za moto?Watu wanafanya kama biashara na Kuna watu kibao mpaka raha ..Huo mchezo kwa sasa umeingia sana zunguka kule kigamboni wamejengea kabisa
Ile sehemu imekaa open unaweza kuingia kutokea baharini labda ukose kiti🤣🤣🤣nilitaka nikalenge ila waliniudhi jamani, beach ina kiingilio unawapa ef 5 halafu alfu mbili ndio unachuku kitu chochote huko ndani nayo inakidhi maji ya dasani madogo [emoji1787] hamna kitu sikipendi kama maeneo wanayojifanya wana viingilio.. mtu mpaka ametoka kwake inamaana anataka kuspend sasa viingilio vya nini? halafu bei zao utasema Hotel ya nyota 5 kumbe utopolo...
anyway , niko nje ya mada ila kama anataka kulenga ndio aende pale
Hapana toy zile Zina nguvu sema yaani kama vitumba tu ...kwa pale ni vitumba fulani tu..Wanatumia risasi za moto?
Asante kwa kunielewesha, nilishakutana navyo chimbo moja lipo zinga kunaitwa hide away resort.Hapana toy zile Zina nguvu sema yaani kama vitumba tu ...kwa pale ni vitumba fulani tu..
Ila Kuna zile za kama vitumba vya kupasuka vikipiga sehemu vinaacha kama rangi zile watu wanalengana kabisa na Kuna mavazi wanavaa.
Labda anauliza shooting range sio hizo za fake gunKuna pweza pale kigamboni unalenga chupa ...Risasi kumi kwa elfu tatu au nne ndo napahafamu ila naona sehemu kibao wanafanya imekuwa dili ni starehe pia.
Shooting Range sijawahi kusikia zipo wapi lakini nina hakika akienda Tanganyika Arms watamuelekeza sababu hawa ndio wauza Guns maharufu hapa TanzaniaNafikiri anataka shooting range za kutumia silaha za kweli kama hizo sehemu zipo
we bwana wee usinikumbushe [emoji3] nikachukua maji ya dasani kwa hasira, nikatokea beach wakanipiga muhuri manake kwa nje pale niliona watu wamekaa wengi natoka tu kwa pembeni naona watu wanapita wanatokea road kuja maeneo yake free kabisa [emoji23][emoji23] kama kuna siku nilichukia ni ileIle sehemu umekaa open unaweza kuingia kutokea baharini labda ukose kiti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao hao waliompa kibali cha kununua silaha wanajua sehemu za kuweza kufanyia hiyo shughuli. Hata kufundisha wanaweza kufanya hiyo kazi.Kuna jamaa yangu anaulizia sehemu ya kujifunzia au kufanyia mazoezi ulengaji shabaha. Nafikiri niliwahi kusikia ipo Kigamboni.
Msaada kwenye tuta.
Kama ni hizo hata daressalam zoo wanafanya hiiHapana toy zile Zina nguvu sema yaani kama vitumba tu ...kwa pale ni vitumba fulani tu..
Ila Kuna zile za kama vitumba vya kupasuka vikipiga sehemu vinaacha kama rangi zile watu wanalengana kabisa na Kuna mavazi wanavaa.
KunduchiShooting Range sijawahi kusikia zipo wapi lakini nina hakika akienda Tanganyika Arms watamuelekeza sababu hawa ndio wauza Guns maharufu hapa Tanzania
Hizo Sawa SawaKama ni hizo hata daressalam zoo wanafanya hii
Ndo izoKama ni hizo hata daressalam zoo wanafanya hii