Sehemu ya Ulengaji Shabaha ya Kigamboni ipo sehemu gani?

Sehemu ya Ulengaji Shabaha ya Kigamboni ipo sehemu gani?

Labda anauliza shooting range sio hizo za fake gun
Hapo sawa !!zile Kuna special trainers na zile miwani zao sana sana wanafanyia mbali na makazi ya watu..ukienda maporini huko kigoma na Arusha ndo wanapenda kuchukua sana mazoezi wanajeshi.
 
nilitaka nikalenge ila waliniudhi jamani, beach ina kiingilio unawapa ef 5 halafu alfu mbili ndio unachuku kitu chochote huko ndani nayo inakidhi maji ya dasani madogo [emoji1787] hamna kitu sikipendi kama maeneo wanayojifanya wana viingilio.. mtu mpaka ametoka kwake inamaana anataka kuspend sasa viingilio vya nini? halafu bei zao utasema Hotel ya nyota 5 kumbe utopolo...

anyway , niko nje ya mada ila kama anataka kulenga ndio aende pale
Ukienda siku ambazo si weekend amna kiingilio,
Kiingilio ni siku za weekends na public holidays, nikiwa free huwa naenda pale kujifunza shabahaa, risasi moja 300.
Kwaiyo 9,000 unapata Risasi zako 30 safii
 
Ukienda siku ambazo si weekend amna kiingilio,
Kiingilio ni siku za weekends na public holidays, nikiwa free huwa naenda pale kujifunza shabahaa, risasi moja 300.
Kwaiyo 9,000 unapata Risasi zako 30 safii
yani ile siku jamani nilichukia [emoji23] aah hata nilieenda nae alinikuta niko kivukoni yani aah hapana halafu yeye alikua anachukulia poa mimi nilikua disappointed mno mnoo
 
Kweli kabisa nilienda siku 5000 yangu iliniuma, nikanywa sprite ya jero elfu mbili ndo umeisha. Yaani wamenambia buku utatumia halafu soda moja tu eti umeisha huu si wizi kabisa
 
Back
Top Bottom