Sehemu za siri zinababuka na kutoa kiharufu ambacho sikielewi

dokolombwike

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
373
Reaction score
616
Mwenye uelewa au ambaye ashawahi kupatwa na hii hali naomba anisaidie, korodani na mapaja yamekuwa yanababuka pamoja na kutoa kijiharufu flani ambacho sikielewi wakuu,cha ajabu hata ukioga,hii hali huanza kujitokeza baada ya masaa kama matatu baada ya kuoga,au ndo fangasi hii wakuu,
 
Hiyo fungusi mkuu,huwa unajifuta na kujikausha vizuri na tauro na kupaka mafuta au uwa hujikaushi unatupia tu boxer?
 
Ebu weka picha tukusaidie mkuu
 
Fungus , wahi tiba na epuka kukaa na unyevu huko chini.
 
Nenda famasi

Nunua dawa inaitwa Griseofulvin ni vidonge nahisi kwa famasi dozi yote ya siku 30 haizidi elfu kumi.

Wakat huo huo ununue na dawa ya kupaka inaitwa Clotrimazole .

Matumizi.
Kwa kua Fangasi zako sijajua hali yake ilivo, basi meza Kidonge 1 kila siku kwa siku 30.

Au kama zinakutoa ngozi sana, kunywa kidonge 1 kila baada ya masaa 12 yaan ndan ya masaa 24 unapiga 2 kwa kumeza kimoja kimoja kwa muachano wa masaa 12 .
Mfano.. Asubuu ya saa 2 kimoja... Usiku wa saa 2 kimoja

Wakat huohuo unanyoa mavuzi kwenye mapumbu kisha unapakaa dawa ya Clotri.. Asubuh na jioni.


Nb... Hakikisha una boksa za kutosha, yaan unapopakaa dawa, jion pakaa na badili boksa.

Hakikisha unafuta mapumbu vzuri , yanakauka ndo unapakaa.
 
Daaah mkuu kweli we ni Dr
 
Picha tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…