Sehemu zinapopatikana mashine za kuranda mbao

Sehemu zinapopatikana mashine za kuranda mbao

hoffman

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
309
Reaction score
477
habari wanajamii wezangu,
ninahitaji kujua ni sehemu gani wanauza mashine za kuranda mbao na ni kwa bei gani Jijiji Dar, uwezo wake na ipi ni bora zaid kwa kuanzia biashara hii!
matumizi yake ya umeme inahitaji 3 phase au hata huu wa kawaida, mwenye kujua zaidi kuhusu biashara hii naomba anijuze.
 
Tembelea mtaa Indira kwenye maduka yanayouza hadrware utavipata na bei zake.
 
Asante sana mkuu kama lilivyo jina lako!
 
Ni mtaa wa India au huo Indira upo maeneo gani mkuu?
 
Back
Top Bottom