Heater
Senior Member
- May 28, 2019
- 168
- 350
Mdau mmoja kaniuliza na mm nimeona n vyema niulizane na wenzangu ambao ndio Jf (yaan ww unaesoma)
Tumeshuhudia namna ambayo watu wametumia kuenzi fikra za Maalim Seif na kwamba itakuwa ni endelevu, na kiukweli ni kitu kizuri sana..
Sasa hoja kubwa ni kuhusu aliyekuwa Raisi wa hawamu ya 5 Mr JPM... Vipi kuhusu mkakati wa kuzilinda Fikra zake, je WanaCCM, Watanzania, Wanaharakati, Wanasiasa, Wanazuoni, na wengineo wote hawajaona umuhimu wa kuzienzi fikra za JPM..
Je, ni vyema tukaziacha fikra zake pia ziendezake?
Au labda mm nimepitwa na Mpango ama mkakati huo wa kuenzi fikra za JPM itakuwa vyema nikataharifiwa na yeyote anaeujua...
Kwan Heshima aliyokuwa akipewa kila kona ya Nchi hii kipindi cha uhai wake hazikutokana na uhodari wa fikra zake ktk kuliongoza taifa hili??
Kama ni kweli fikra zake zilikua hodari ktk kutatua changamoto za taifa hili kwnn zisitafutiwe namna bora ya kuenziwa??
Tumeshuhudia namna ambayo watu wametumia kuenzi fikra za Maalim Seif na kwamba itakuwa ni endelevu, na kiukweli ni kitu kizuri sana..
Sasa hoja kubwa ni kuhusu aliyekuwa Raisi wa hawamu ya 5 Mr JPM... Vipi kuhusu mkakati wa kuzilinda Fikra zake, je WanaCCM, Watanzania, Wanaharakati, Wanasiasa, Wanazuoni, na wengineo wote hawajaona umuhimu wa kuzienzi fikra za JPM..
Je, ni vyema tukaziacha fikra zake pia ziendezake?
Au labda mm nimepitwa na Mpango ama mkakati huo wa kuenzi fikra za JPM itakuwa vyema nikataharifiwa na yeyote anaeujua...
Kwan Heshima aliyokuwa akipewa kila kona ya Nchi hii kipindi cha uhai wake hazikutokana na uhodari wa fikra zake ktk kuliongoza taifa hili??
Kama ni kweli fikra zake zilikua hodari ktk kutatua changamoto za taifa hili kwnn zisitafutiwe namna bora ya kuenziwa??