Seif foundation Lengo kuu ni kuenzi fikra za Hayati Maalim Seif... Vipi kuhusu kuenzi fikra za Magufuli?

Kaletwa? Mbona alisema alikua anajaribu akasukumiwa huko 🤣🤣🤣
Kumbuka alipewa ilisemekana kwamba kaletwa na Mungu kuliokoa Taifa letu..... Yaan mtu aliyeletwa kwa kazi maalumu duniani... tunashindwa kutambua fikra zake kwa kuzienzi ktk namna ya heshima na endelevu.
 
Duuh,kwahiyo ianzishwe magufuli foundation kwa sababu kuna seif foundation iko kwenye mchakato 🤣🤣🤣

Wasukuma bhana wanapenda sana ligi,lakini si kuna stand ya Magufuli mbona inatosha kabisa kumuenzi
 
Ba
Badala ya kuongelea Benjamini mkapa unaongelea lile liuaji. Limeacha mauji tu namateso kwa wapinzani na akina membe tu.
 
Ba

Badala ya kuongelea Benjamini mkapa unaongelea lile liuaji. Limeacha mauji tu namateso kwa wapinzani na akina membe tu.

Limkapa kwani halijaua ? Yote ni mi jesuit miuaji pamoja Na kinara wao Laanatullahi Nyerere
 
Nami nilikuwa najiuliza hapa huyo kiongozi wa awamu ya 5 aenziwe kwa lipi haswa?
~ CHUKI
~ KIBURI
~ KWA UNYUKI WAKE
~ HOFU ALIYOITENGENEZA NCHI NZIMA
 
Nami nilikuwa najiuliza hapa huyo kiongozi wa awamu ya 5 aenziwe kwa lipi haswa?
~ CHUKI
~ KIBURI
~ KWA UNYUKI WAKE
~ HOFU ALIYOITENGENEZA NCHI NZIMA
Mimi hata ilifikia nikaanza kuhoji Utanzania wake,maana alikuwa hana tabia za Kitanzania,Viongozi wa dini kama kina Niwemugizi walipohoji wakatumiwa Uhamiaji

Alikuwa na tabia za kutukana Wanawake mbele ya hadhara na kuwadhalilisha

Alipokufa nilisheherekea,msema kweli mpenzi wa Mungu.

Huyu Bibie anatabia za Kitanzania ila kaambukizwa kidogo na yule Mbwiga.
 
Ulikosa teuzi kwa sababu ya kabila lako au kazi?
 
Acheni uongo huyu wa sasa hata mbegu hazitaki jee hana chuki na wanaume?
 
Fikra zipi ? Ujenzi wa barabara na Chato utaandika kurasa ngapi?
 
Magufuli alikuwa na fikra zipi zaidi ya kuwakomoa wapinzani wake kisiasa?
 
Mkuu mipango Iko mbioni usijali.
 
Bila Shaka mleta Uzi atakuwa mjane wa mwendazake.
 
Fikra za Maghufuri ndio zipi?
Alisimamia nini?zaidi ya chuki binafsi
 
Ipo haja ya kukumbuka fikra zake JPM, binafsi namkubali katika suala la UTHUBUTU na pia kuwa VISIONARY.

Japo alikuwa na mapungufu yake pia. Apumzike kwa AMANI Mzee wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…