Seif foundation Lengo kuu ni kuenzi fikra za Hayati Maalim Seif... Vipi kuhusu kuenzi fikra za Magufuli?

Kwenye hili wanaouza hizo nyumba ni hao"masikini"waliopewa nyumba na Serikali baada ya nyumba zao kuvunjwa kupisha ujenzi wa nyumba za Michenzani.
 
Acha chuki wewe hazitakusaidia..huoni miradi mikubwa aliyoanzisha jifunze kuchukua positive things itakusaidia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu kwa kuanzia tu tujiulize na tupate kufahamu, Je! Huyo jamaa ni marehemu ama hayati?
 
Limkapa kwani halijaua ? Yote ni mi jesuit miuaji pamoja Na kinara wao Laanatullahi Nyerere
Hivi ule mchakato wa kumtunikia utukufu yaani kua mtakatifu mwalimu uliishia wapi 🤣🤣🤣

Waacheni hawa wa2 wapumzike jamani na tuwaombee toba hii mizigo mingine tunayotaka kuwabebesha tuache
 
Acha chuki wewe hazitakusaidia..huoni miradi mikubwa aliyoanzisha jifunze kuchukua positive things itakusaidia.

#MaendeleoHayanaChama
Membe anasema jiwe alikua nyuki yaani anatengeneza asali tu 🤣🤣🤣

Raisi wa miundombinu 🤣🤣🤣
 
Bogus ni babaako na mamaako waliozaa mtoto bogus ambaye amejaa wivu na husda.
 
Ulishaona wapi fikra za mwendawzimu zikadumishwa?

Huyo Magu hakuwa na fikra yoyote zaidi ya kuua,kuiba,chuki kwa upinzani nk
 

Magufuli ameacha nini? Ameacha wizi wa Tsh 2.4 Trilion, chuki dhidi ya upinzani, ubaguzi wa maendeleo kwa kupendelea Chato, umalaya kwa akina Jokate na Kairuki, matusi kwenye majukwaa, kuropoka, ubishi wa Corona mpaka imemuua, uuaji wa akina Ben Saanane na Azory Gwanda, utekaji wa akina MoDewji, maonezi kwa akina Eric Kabendera na Tito Magoti na dharau kwa wanawake tu.

Atakumbukwa kwa UDIKTETA, kukandamiza Demokrasia, Wizi wa uchaguzi Serikali za Mitaa 2019, wizi wa kura uchaguzi Mkuu 2020, kuvunja Katiba, kudhibiti Bunge na kuitishia Mahakama. Vilevile kuminya uhuru wa kujieleza na kuitishia vyombo vya habari.

Nani atanikamata leo nikisema Magufuli alikuwa muuaji? Hakuna kwa vile Rais SSH anakubali kukosolewa kwa misingi ya Sheria. Ila wapumbavu kama wewe wanafiria kumuanzishia FOUNDATION
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…