Sekela chicken


anapakwa viungo vipi sasa?
waweza elezea?
 
anapakwa viungo vipi sasa?
waweza elezea?

pilipili,chicken masala,vinegar,wengine huweka mdalasini uliosagwa,soy sauce muhimu!chumvi,mimi huweka hata na mtindi pia kuweka taste zaidi!chumvi thn naoka kwenye moto wa wastani!
ukiweka kwenye mkaa ndo poa,ile oven la mkaa lile!
aive tratiiibu!
BTW ule mgahawa wa vyakula vya wenye sukari uliishia wapi?
bonge la hela ile unajua!?
 
anapakwa viungo vipi sasa?waweza elezea?
mkuu siku hizi wamelahisisha. ukienda duka la vyakula ukaagiza viungo vya sekela wanakupatia. yaani vinakuwa kwenye pakiti vishachanganywa tayari. wewe unafika na kupaka tu. nenda k/koo. mia
 
The Boss, King'asti, et al....kuna hii "mbu recipe" hebu jaribu [marination] kila mtu na ingredients Qty anavyojiskia;

Changanya;
1. Maziwa mgando
2. Kotmiri aka Dhania aka Coriander
3. Pilipili mbuzi kidogo
4. Limao (juuce)
5. Tomato paste aka puree
6. Vitunguu swaumu na tangawizi
7. Vitunguu maji kidogo
8. Olive Oil kidogo
9. Curry powder (simba mbili?)
10. Chumvi na pilipili manga (unga)

Blend mchanganyiko huu,
Changanya kwenye kuku wako (mbichi)...

uhifadhi kwenye fridge au funikia kwa angalau saa moja kabla hujachoma kwenye Oven au Open pit BBQ.

Enjoy!
 
Last edited by a moderator:

mbona nafanya hvyo lakin anababuka ngoz na kuwa mweus na bado hana radha wa sekela au nakosea wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…