Sekomu boom lini

sabai

Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
69
Reaction score
7
kati ya vyuo ambavyo ni kero katika boom ni sekomu, wadau niambieni boom lini?
 
kati ya vyuo ambavyo ni kero katika boom ni sekomu, wadau niambieni boom lini?

Sorry, naomba nami niulize hapo hapo. Hivi huwa mnapata kiasi gani? Huwa ni sawa kwa wote au?
 
inategemea mwaka wa kwanza 472,500, mwaka wa pili na watatu ni tshs.461,250/=
 
kati ya vyuo ambavyo ni kero katika boom ni sekomu, wadau niambieni boom lini?
ni bora ungeanza na definition ya neno SEKOMU kabla hujaomba msaada!
 
Hvi kumbe na nyie mnapewaga mikopo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…