Sekondari iliyopata mgawo wa ESCROW yaongoza

kyalankota

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2,594
Reaction score
1,462
Ni sekondari ya Barbro Johansson inayomilikiwa na prof. Anna Tibaijuka, imeongoza kwa ufaulu wa somo la hesabu kidato cha pili kwa upande wa wasichana kitaifa.

Source : JamboLeo
 
Wachunguzwe na necta nahisi watakuwa wameiba na mtihani!!Ukiwa chini ya mwizi lazima na ww utakuwa na tabia za wizi!!
 
Historia ya matokeo na ufaulu wa shule hiyo kwa miaka iliyopita upoje?!
 
Kwa hali halisi shule hii ilikuqa imekumbwa na kashfa mbaya ya kifisadi.na ni wazi kuwa ili kuiokoa na zahma ya wazazi kuhamisha watoto wao kwenye shule zingine ilibidi kufanyika jitihada za ziada na hivyo kwa watanzania tunaijua tanzania kuna ulazima wa kutilia walakini ufaulu wake.

Kama necta iliweza kufaulisha watoto hata wasiojua kusoma.hatuwezi kushangaa kwa hili tena kwa nguvu ya escrow!!😱
 
Umekosea kuandika kichwa cha huu uzi ungeandika hivi Sekondari ya mpiga pesa za ESCROW Tibaijuka, imeongoza.

Duh! Makubwa haya. Hata wewe umeshamtosa jembe la Kikwete? Bado jembe jingine Pro.Muongo naye utamtosa siku sii nyingi naye akishamwagwa
 
Kwa shule za viongozi kama hawa lazima zichunguzwe ktk matokeo kwani wana uwezo wa kupanga matokeo kwa kuwahonga hao wasimamizi wote na wakatoa majibu kwa wanafunzi ili kumjenga mwenye shule.
 
Duh! Makubwa haya. Hata wewe umeshamtosa jembe la Kikwete? Bado jembe jingine Pro.Muongo naye utamtosa siku sii nyingi naye akishamwagwa
Humjui Ritz vizuri pitia michango yangu kwenye sakata la ESCROW utajua msimamo wangu.
 
Humjui Ritz vizuri pitia michango yangu kwenye sakata la ESCROW utajua msimamo wangu.

Lakini umemtaja Tibaijuka kama mpiga pesa za Escrow. Sasa atapigaje fedha ambazo sio za UMMA kama msimamo wako ulivyokuwa? Kama sio za umma basi hajapiga ila kapewa na mwenyewe ambaye ni mmiliki wa IPTL. Kama kapiga basi tukubaliane kuwa fedha zile ni za umma hata kama sio zote.
 
Msimamo wangu upi? Lini mimi na wewe tuliongea kuhusu msimamo wangu naona unahangaika na Ritz nimekuambia pitia post zangu kwenye sakata la ESCROW utajua msimamo wangu.
 
Sekondary ya jembe la JAKAYA la profesali A. Tibaijuka wa escrow yatoa wanafunzi bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…