kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,462
Ni sekondari ya Barbro Johansson inayomilikiwa na prof. Anna Tibaijuka, imeongoza kwa ufaulu wa somo la hesabu kidato cha pili kwa upande wa wasichana kitaifa.
Source : JamboLeo
Source : JamboLeo