Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nimeshangaa. Sisi wengine ni business as usual.Usishangae mkuu,
Nilipotia mada nilikuwa sahihi kwamba sekondari kadhaa zisizo za amali zimeshaingia mkenge.
Huyo jamaa unayemshangaa ni mmojawapo waliouvaa mkenge.
Kibaha wameingia mkenge huo sekondari nyingi tu na hakuna wa kuwaamsha.
Kumbe......ahsante sanaTechnical school
Upo sahihi kabisa.Sio kweli.
Zanzibarization of Tanzania. Amali ni neno linalotumika Zanzibar kumaanisha ufundi. Mafunzo ya amali = mafunzo ya ufundi = vocational training.WTF is amali?? Kwani neno “ufundi” lina shida gani?
Wapumbavu kabisa hawaZanzibarization of Tanzania. Amali ni neno linalotumika Zanzibar kumaanisha ufundi. Mafunzo ya amali = mafunzo ya ufundi = vocational training.
Amali ni kazi,ujasiri wa amali-ujasiriamaliNeno 'amali' ungejaribu kuliweka hata kwa kiingereza,tujue.
Ni kweli. Hutakiwi kukldanganywa na watendaji wa halmashauri ya Kibaha.Unachosema ni kweli, na siye huku mkuu wetu na mtaaluma walieleza hivyo kwenye kikao; tuanze kutumia mtaala na mihitasari mipya(syllabi), bahati nzuri tukawepo watu wenye ufuatiliaji na uelewa wa protokali za serikali, tukawaeleza mabadiliko ya syllabus huja na waraka wenye kuonyesha mpango wa utekelezaji.
Baada ya kujadiliana na kuwekana sawa baadae ilibidi mkuu aulize kwa Afisa elimu ambaye alieleza vyema kuwa mtaala mpya na mihitasari yote mipya iliyo tolewa na utekelezaji wake ni kwa shule chache teule. Zingine ziendelee na utaratibu wa zamani hadi waraka utakapotolewa.
Nikupongeze mtoa mada kwa kutanabahisha hili, ni kweli kuna watu wakisikia tu Jambo limeongelewa bungeni au kwenye vyombo vya habari, hukurupuka na kuanza utekelezaji bila ya waraka au miongozo ya utekelezaji wa Jambo husika na hivyo kuleta mikanganyiko.
Vocational skillsNeno 'amali' ungejaribu kuliweka hata kwa kiingereza,tujue.
Halafu vikekomaa na vinapenda pesaaaa.Ungerahisisha sana kwa kuelezea Maana ya Amali/kama ina kirefu chake pia..
Inavyofanya kazi n.k..
Hilo tuu, kuhusu kujichanganya hilo sio shida kwa Tz.
Kitu unachotakiwa ujue wa Tz walicho serious nacho ni Majungu na Unafiki..
NB. Vidada vingi vya Jf ni vijizi na vishirikina.
amali ni neno la wazanzibari linalovuka bahari kwa kasi kimatumizi kuja bara , huku sisi tunatumia maneno 'ufundi stadi' badala ya neno hilo amaliNeno 'amali' ungejaribu kuliweka hata kwa kiingereza,tujue.
Wamezingatia mazingiraZanzibarization of Tanzania. Amali ni neno linalotumika Zanzibar kumaanisha ufundi. Mafunzo ya amali = mafunzo ya ufundi = vocational training.![]()
Kwahiyo kibaha sec imegeuka na kuwa technical school..?Amali ni vocational.
Amali ni nini na hizo shule ni zipi?Ndugu wadau,
Wote tunajua kwamba mtaala mpya umeanza mwaka huu 2024 kama ilivyoelezwa mara nyingi na wakuu wa wizara ya Elimu na hadi Waziri mwenyewe.
Kadiri ya maelezo ni kwamba shule za sekondari zitakazoanza na mtaala mpya hasa kwa form one ni zile chache tu zenye mkondo wa amali.
Shule hizi chache ambazo orodha yake tumeiona wote ndizo pekee zitakazoanza na mtaala huo mwaka huu.
Jambo la ajabu ni kwamba zipo sekondari ambazo hazimo katika orodha ya shule za amali lakini eti nazo zimeanza mtaala mpya.
Binafsi sikuamini lakini katika kuulizia wenzangu nimegundua ni kweli kwamba zipo shule zimeshafanya kosa la kuanza kufundishia mtaala mpya wakati siyo shule za amali.
Ndugu wadau, hili ni jambo very serious. Hii maana yake shule hiyo walimu wote na uongozi wote umeingia mkenge kwa kufundisha masomo yasiyotakiwa kufundishwa.
Kwa mfano, shule hiyo inatakiwa ifundishe somo la Civics kwa formo one lakini kumbe kimakosa wanafundisha somo la Historia ya Tanzania la mtaala mpya.
Kwa sababu hii ni hatari na shule hizi zinaweza kuchelewa sana kugundua ni bora tujadili humu na ikibidi tuziorodheshe na kwa kupitia Jamii Forum shule hizo zijirekebishe mapema au wizara ilijue hili iziiingile mapema kabal ya hasara kubwa kutokea.
Kuna tetesi kwamba watenaji wa Halmashauri ya Kibaha wamekosea na wamezipotosha baadhi ya sekondari kufuata mtaala mpya
kwa form one kimakosa.
Hii maana yake shule hizo za Kibaha sasa hazifundishi somo la Civics amacho ni kosa kubwa na kwa kweli ni scandal.