DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mtulivu34

Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
16
Reaction score
62
Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake

Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu

Cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa Dar es Salaam mwingine Dodoma

Uhuni wa sekreratariet ya ajira ndo huo, unaweza ukawa unajiuliza kwanini mchakato wa ajira huwa unachukua muda mrefu kumbe hapa katikati kuna mianya ya rushwa inatengenezwa.
 
tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikua ni wanawake

ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaid yangu

cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa dar es salaam. mwingine dodoma

uhuni wa sekreratariet ya ajira ndo huo. unaweza ukawa unajiuliza kwa nini mchakata wa ajira hua unachukua muda mrefu kumbe hapa katikat kuna mianya ya rushwa inatengenezwa .
Serikali nayo ni chaka la wala rushwa
 
tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikua ni wanawake

ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaid yangu

cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa dar es salaam. mwingine dodoma

uhuni wa sekreratariet ya ajira ndo huo. unaweza ukawa unajiuliza kwa nini mchakata wa ajira hua unachukua muda mrefu kumbe hapa katikat kuna mianya ya rushwa inatengenezwa .

Duh, hatari sana,
 
Anza kulima huko kijijini kuna database unakuta mtu kashapiga interview zaid ya mbili ila kakosa nafasi.
 
Kama kweli weka hiyo mikeka miwili tofauti tuione UNLESS wewe ni LIER una wakandia PSRS .
 
Sasa wewe umepata kazi uliyosotea muda mrefu tena peke yako, unakuja kulalama wenzio hawaja ripoti, hao wanakuhusu nini? Unawajua??

Huoni kuwa huko kijijini ndiyo kuna fursa za kipato nje ya mshahara kwa mtumishi kama wewe!!?? Huoni kuwa wenzio hawaja ripoti kwa kuwa siyo maskini wenzioo ndiyo maana hawa jaenda huko kijijini kwa hiyo wewe ume bahatika...

Huoni wewe ni mwanaume lazima uwe na utofauti, Huoni hiyo ajira wangapi wameikosa wewe umepata unalilia kama umekalia uboo..

Acha kulialia na kuandika ujinga, ukiwa hivyo unatia hofu hata kazi uliyopewa kuifanya kwa uadilifu..
 
Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake

Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu

Cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa Dar es Salaam mwingine Dodoma

Uhuni wa sekreratariet ya ajira ndo huo, unaweza ukawa unajiuliza kwanini mchakato wa ajira huwa unachukua muda mrefu kumbe hapa katikati kuna mianya ya rushwa inatengenezwa.
TCRA, Tanzania Gaming Board na Regulatory Authorities wote ni wala rushwa
 
Sasa wewe umepata kazi uliyosotea muda mrefu tena peke yako, unakuja kulalama wenzio hawaja ripoti, hao wanakuhusu nini? Unawajua??

Huoni kuwa huko kijijini ndiyo kuna fursa za kipato nje ya mshahara kwa mtumishi kama wewe!!?? Huoni kuwa wenzio hawaja ripoti kwa kuwa siyo maskini wenzioo ndiyo maana hawa jaenda huko kijijini kwa hiyo wewe ume bahatika...

Huoni wewe ni mwanaume lazima uwe na utofauti, Huoni hiyo ajira wangapi wameikosa wewe umepata unalilia kama umekalia uboo..

Acha kulialia na kuandika ujinga, ukiwa hivyo unatia hofu hata kazi uliyopewa kuifanya kwa uadilifu..
kwa iyo wewe hua unalia wakati umekalia ulichotaja
 
Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake

Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu

Cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa Dar es Salaam mwingine Dodoma

Uhuni wa sekreratariet ya ajira ndo huo, unaweza ukawa unajiuliza kwanini mchakato wa ajira huwa unachukua muda mrefu kumbe hapa katikati kuna mianya ya rushwa inatengenezwa.
Wahuni wanaita majina Kwa ajili ya interview wakiwa na majina Yao tayari. Halafu wenye majina Yao wanaanza kuwapelekesha. Serikali ya wahuni haiishiwi vituko
 
Sasa wewe umepata kazi uliyosotea muda mrefu tena peke yako, unakuja kulalama wenzio hawaja ripoti, hao wanakuhusu nini? Unawajua??

Huoni kuwa huko kijijini ndiyo kuna fursa za kipato nje ya mshahara kwa mtumishi kama wewe!!?? Huoni kuwa wenzio hawaja ripoti kwa kuwa siyo maskini wenzioo ndiyo maana hawa jaenda huko kijijini kwa hiyo wewe ume bahatika...

Huoni wewe ni mwanaume lazima uwe na utofauti, Huoni hiyo ajira wangapi wameikosa wewe umepata unalilia kama umekalia uboo..

Acha kulialia na kuandika ujinga, ukiwa hivyo unatia hofu hata kazi uliyopewa kuifanya kwa uadilifu..
Duuuh...! Mkuu uboo tena...!!!
 
hawa lazima itakuwa ni waalimu tu. Hizi pdf zinazoendelea na nafasi zilizopo. Kuwa mpole mkuu watakuja wengine PSPRS WANAJUA WANACHOKIFANYA HAWA JAMAA. SEMA WACHUNGUZWE. NI HUENDA NI KAKIKUNDI CHA WATU WACHACHE PALE WATAG TAKUKURU MKUU
 
Back
Top Bottom