DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama kweli weka hiyo mikeka miwili tofauti tuione UNLESS wewe ni LIER una wakandia PSRS .
Kama wewe ni mmoja ya hao wala rushwa kwenye hiyo taasisi au umewahi kunufaika na mfumo corrupted wa hiyo secretariat ya ajira, lazima utatetea na mara nyingi nyie watetezi wa rushwa na ufisadi huwa mnajificha kwenye kivuli cha kuomba ushaidi.. kwa sababu mnajua watanzania sio watu wakukusanya kusanya ushaidi wa matukio kama hayo zaidi ya kuongea tu.
 
Sasa wewe umepata kazi uliyosotea muda mrefu tena peke yako, unakuja kulalama wenzio hawaja ripoti, hao wanakuhusu nini? Unawajua??

Huoni kuwa huko kijijini ndiyo kuna fursa za kipato nje ya mshahara kwa mtumishi kama wewe!!?? Huoni kuwa wenzio hawaja ripoti kwa kuwa siyo maskini wenzioo ndiyo maana hawa jaenda huko kijijini kwa hiyo wewe ume bahatika...

Huoni wewe ni mwanaume lazima uwe na utofauti, Huoni hiyo ajira wangapi wameikosa wewe umepata unalilia kama umekalia uboo..

Acha kulialia na kuandika ujinga, ukiwa hivyo unatia hofu hata kazi uliyopewa kuifanya kwa uadilifu..
Umeandika upumbavu mtupu hili kumbeza mleta mada aonekane kaandika kitu cha kijinga... ila in real sense wewe ndio umeandika ujinga tena wa hali ya juu sana ukijaribu kufunika mfumo wa rushwa na kujuana kwingi uliopo kwenye hiyo taasisi
 
Kwani hujui kwamba nchi imefunguka?

Kwani hujui kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
 
Ukiwa na mwanamke katika jambo lolote linalotegemea maboss zaidi yako ujue kuwa wakuumia ni wewe,mwanamke siyo mwenzako ana rushwa za aina nyingi ambazo zilimfanya Samson akashindwa kufua dafu akaishia kutobolewa macho pamoja na maguvu yake yote.
 
Wahuni wanaita majina Kwa ajili ya interview wakiwa na majina Yao tayari. Halafu wenye majina Yao wanaanza kuwapelekesha. Serikali ya wahuni haiishiwi vituko
Pole sana mkuu ila utazoea tuu 😂
 
Tuliajiriwa watu 4 wilaya moja ambayo ni kijijini mno watatu walikuwa ni wanawake

Ajabu ni kwamba hakuna aliyeripoti kwenye wilaya tuliyopangiwa zaidi yangu

Cha kushangaza wote majina yao yakatokea kwenye list nyingine iliyotoka siku mbili mbele wote wamebadilishwa mkoa wawili wameajiriwa Dar es Salaam mwingine Dodoma

Uhuni wa sekreratariet ya ajira ndo huo, unaweza ukawa unajiuliza kwanini mchakato wa ajira huwa unachukua muda mrefu kumbe hapa katikati kuna mianya ya rushwa inatengenezwa.
Pole mkuu umeongea Kwa uchungu Sana .ushaur wangu vumilia Tu huko ulikopangiwa nimewaza patakuwa kigoma Tu
 
Back
Top Bottom