DOKEZO Sekreararieti ya ajira ni kichaka cha rushwa, Serikali iwe makini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama kweli weka hiyo mikeka miwili tofauti tuione UNLESS wewe ni LIER una wakandia PSRS .
Kama wewe ni mmoja ya hao wala rushwa kwenye hiyo taasisi au umewahi kunufaika na mfumo corrupted wa hiyo secretariat ya ajira, lazima utatetea na mara nyingi nyie watetezi wa rushwa na ufisadi huwa mnajificha kwenye kivuli cha kuomba ushaidi.. kwa sababu mnajua watanzania sio watu wakukusanya kusanya ushaidi wa matukio kama hayo zaidi ya kuongea tu.
 
Umeandika upumbavu mtupu hili kumbeza mleta mada aonekane kaandika kitu cha kijinga... ila in real sense wewe ndio umeandika ujinga tena wa hali ya juu sana ukijaribu kufunika mfumo wa rushwa na kujuana kwingi uliopo kwenye hiyo taasisi
 
Kwani hujui kwamba nchi imefunguka?

Kwani hujui kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
 
Ukiwa na mwanamke katika jambo lolote linalotegemea maboss zaidi yako ujue kuwa wakuumia ni wewe,mwanamke siyo mwenzako ana rushwa za aina nyingi ambazo zilimfanya Samson akashindwa kufua dafu akaishia kutobolewa macho pamoja na maguvu yake yote.
 
Wahuni wanaita majina Kwa ajili ya interview wakiwa na majina Yao tayari. Halafu wenye majina Yao wanaanza kuwapelekesha. Serikali ya wahuni haiishiwi vituko
Pole sana mkuu ila utazoea tuu 😂
 
Pole mkuu umeongea Kwa uchungu Sana .ushaur wangu vumilia Tu huko ulikopangiwa nimewaza patakuwa kigoma Tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…