Sekretarieti ya Ajira acheni kuwawekea waomba ajira vigingi visivyo na sababu za msingi.

Sekretarieti ya Ajira acheni kuwawekea waomba ajira vigingi visivyo na sababu za msingi.

Ngoja kwanza..
Daktari aliyesoma chuo kinachotambuliwa na TCU na UNESCO na ana leseni valid ya practitioner, interview ni ya kazi gani kama siyo usenge ni Nini?
Kwahy ukisoma huko hutakiwi kufanya usaili, yn wabongo wengi n wapumbavu kama ww, sasa kama umeweza kusoma huko na kufaulu unaogopaje usaili?
 
nina kama interview 3 hivi niliomba kwa wakati mmoja na hawakuniita sababu ya kutokugonga muhuri wa mwanasheria birth certificate, japo nilifanikiwa kugonga muhuri na ku upload upya katikati ya kipindi cha matangazo kutolewa na kipindi bado hawajaita interview.

Ila ikaja NOT SHORTLISTED, huu ni upuuzi.

Niliwapigia na kuwapata kwa taabu sana lakini hawana majibu ya kueleweka na bado wakaninyima kufanya interview.

Hii inavunja moyo sana, unakuta mtu umeomba kada flani inapita zaidi ya miezi 4 wanakuja kutoa majibu eti NOT SHORTLISTED kisa tu muhuri wa cheti cha kuzaliwa, hapo hapo tayari wana # yako ya Nida, na tayari # ya nida ina kila info inayohusu identity ya muhusika.

This is so unreal, unnecessary and unprofessional.

Utumishi Wajitathmini.
Sijaona kosa la utumishi hapo, yote hayo n makosa yako.
Vp kama walishapitia majina na wakakuta vyeti vyako havina mhuri ila wao walikuwa wanasubiri muda wao sahihi wa kuita hao watu.
 
Sijaona kosa la utumishi hapo, yote hayo n makosa yako.
Vp kama walishapitia majina na wakakuta vyeti vyako havina mhuri ila wao walikuwa wanasubiri muda wao sahihi wa kuita hao watu.
Upo sahihi. Huwa kuna watu kazi yao ni kupitia maombi yote na kuandaa mkeka wa waliokidhi vigezo, wanaweza kuchelewa kuita usaili ila zoezi la kupitia wenye vigezo walishalifanya muda. Hivyo kama uki-update taarifa zako wakati zoezi limeshafanyika ni kujisumbua tu.
 
Back
Top Bottom