Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuna shida sana kwenye mfumo; mfumo hauruhusu watu kuomba kazi pamoja na kuwa na vigezo

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuna shida sana kwenye mfumo; mfumo hauruhusu watu kuomba kazi pamoja na kuwa na vigezo

Samba

Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
74
Reaction score
65
Sekretarieti ya Ajira, hivi hamna mtu wa quality assuarance? ili akague adverts zenu kabla ya kuwekwa kwa portal na kwenye webiste? hivi hamnuoni kwamba kuna kazi nyingi zina makosa?

Unakuta kazi ipo kwenye category yako na programme yako iko listed lakini huwezi kuomba kazi unaambiwa programe /course yako haiko relevant!

Haya mnapigiwa simu mnasema mnashughulikia au mnasema tupige Help Desk wakati simu ziko off mpaka deadline inapita kabla haijarekebishwa.

Kwa nini ? hata simu unaweza piga mara 50 na husiipate tuwafikirieje? Au mme restrict kusudi waombe watu fulani tu? Tupeni majibu tafadhali
 
Angalieni hii post ya Assistant Librarian Trainee katika chuo cha UDOM, jamani Hivi qualification ya Librarian kwa level yoyote anaweza kuwa na qualification ya Doctor of Medicine? Pharmacy? Law ? Physics kama inavyoonekana kwenye tangazo na Portal? Hebu tuweni serious watu wanahitaji kuomba kazi na si kngine . Sijuhi mtu anaecompile hizi document yukoje
portal wrong.JPG
 
Watanzania hawakuwa tayari kupokea mabadiliko ya Sayansi na Technology, tazama customer services za Serikalini mpaka mashirika binafsi
 
Angalieni hii post ya Assistant Librarian Trainee katika chuo cha UDOM, jamani Hivi qualification ya Librarian kwa level yoyote anaweza kuwa na qualification ya Doctor of Medicine? Pharmacy? Law ? Physics kama inavyoonekana kwenye tangazo na Portal? Hebu tuweni serious watu wanahitaji kuomba kazi na si kngine . Sijuhi mtu anaecompile hizi document yukoje
View attachment 2269280
Uzembe tuu, na walioufanya hapo.
 
Back
Top Bottom