Sekretarieti ya ajira mmekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana wasio na connection kupata ajira.
Niukweli usio pingika Sekretariet ya Ajira mko fair sana katika kutafuta watumishi wa Umma, hakuna upendeleo wala vimemo, anaye ajiriwa kimsingi anakiwa amefanya vyema kwenywe Interview.
Kitendo cha kurudisha ajira hizo kwenye Taasisi husika kinarudisha nyuma jitihada za kuondosha ukabila katika Taasis mbalimbali Nchini.
Sekretarieti ya Ajira, tunaomba mrudishe ajira za TRA kwenu, ambao watoto wetu wameshaweka nyaraka mbali mbali katika mfumo wenu wa ajira za umma.
Niukweli usio pingika Sekretariet ya Ajira mko fair sana katika kutafuta watumishi wa Umma, hakuna upendeleo wala vimemo, anaye ajiriwa kimsingi anakiwa amefanya vyema kwenywe Interview.
Kitendo cha kurudisha ajira hizo kwenye Taasisi husika kinarudisha nyuma jitihada za kuondosha ukabila katika Taasis mbalimbali Nchini.
Sekretarieti ya Ajira, tunaomba mrudishe ajira za TRA kwenu, ambao watoto wetu wameshaweka nyaraka mbali mbali katika mfumo wenu wa ajira za umma.