Sekretarieti ya Ajira, kwanini mruhusu TRA kutangaza ajira zao? Naiona ile TRA ya makabila ikirudi kwa kasi

Sekretarieti ya Ajira, kwanini mruhusu TRA kutangaza ajira zao? Naiona ile TRA ya makabila ikirudi kwa kasi

Sekretarieti ya ajira mmekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana wasio na connection kupata ajira.

Niukweli usio pingika Sekretariet ya Ajira mko fair sana katika kutafuta watumishi wa Umma, hakuna upendeleo wala vimemo, anaye ajiriwa kimsingi anakiwa amefanya vyema kwenywe Interview.

Kitendo cha kurudisha ajira hizo kwenye Taasisi husika kinarudisha nyuma jitihada za kuondosha ukabila katika Taasis mbalimbali Nchini.

Sekretarieti ya Ajira, tunaomba mrudishe ajira za TRA kwenu, ambao watoto wetu wameshaweka nyaraka mbali mbali katika mfumo wenu wa ajira za umma.
Mkuu inshu ya ukabila na connection/kujuana haiwezi kuisha kamwe...

Hata ikitokea ni ww ukawa na wadhifa sehemu au nafasi ya kumuweka mtu sehemu huwezi muweka mtu baki usiyemfahamu zaidi ya nduguyo/rafiki. Usitake kuonekana kwamba ww una hekima sana.

All in all PSR wanajitahidi sana kutenda haki japo napo kuna connection na kujuana. Kuna ile unaambiwa tu kijana mwambie apambane tu aingie oral basi mchezo umeisha na kuna ile kijana hana haja ya kufanya interview tutacheza tu na database basi.
 
Mkuu inshu ya ukabila na connection/kujuana haiwezi kuisha kamwe...

Hata ikitokea ni ww ukawa na wadhifa sehemu au nafasi ya kumuweka mtu sehemu huwezi muweka mtu baki usiyemfahamu zaidi ya nduguyo/rafiki. Usitake kuonekana kwamba ww una hekima sana.

All in all PSR wanajitahidi sana kutenda haki japo napo kuna connection na kujuana. Kuna ile unaambiwa tu kijana mwambie apambane tu aingie oral basi mchezo umeisha na kuna ile kijana hana haja ya kufanya interview tutacheza tu na database basi.
Ila connection ya sijui data base wanayotumia hao Sekretarieti ndio mbaya sana kuliko hata hii ya kwenda kupambana.

Kuna watu wamekuja kazini Kwa maelezo ya eti walikuwepo.kwenye data base ,yaani imekuwa uchochoro ambao hakuna anaeweza kuthibitisha.

Kikubwa uonekane uliwahi omba tuu Ajira ,utaingizwa kwenye mchongo wa data base kiulaini.
 
Kwamba unataka kutuaminisha kuchelewesha usahili ni moja ya role za kiutumishi..! , basi TRA wange bakia nao kusubiria hiyo role kufanya kazi kama haina side effects mbaya.
Naendelea kusisitizi huelewi unachokizungumzia
 
Hizi ajira waweza kukuta ni siasa tu, mtu unaishia tu kuomba Hamna Cha usahili wala nn, zinakuja nyingne zinatangazwa tena unaomba Hamna usahili Cha msingi nchi ionekane inatoa ajira.
 
Ila connection ya sijui data base wanayotumia hao Sekretarieti ndio mbaya sana kuliko hata hii ya kwenda kupambana.

Kuna watu wamekuja kazini Kwa maelezo ya eti walikuwepo.kwenye data base ,yaani imekuwa uchochoro ambao hakuna anaeweza kuthibitisha.

Kikubwa uonekane uliwahi omba tuu Ajira ,utaingizwa kwenye mchongo wa data base kiulaini.
Ndio hivyo mkuu ndio maana namwambia hata hiyo PSR sio kwamba inatenda haki kwa asilimia 100 ni vile tu hafahamu kuhusu mambo hayo, sisi tuliopo huko twafahamu.
 
Kwa Sasa Kuna Baadhi ya mashirika na taasisi yamepewa uhuru wa kuajiri Ili kupungiza ukiritimba.

Sema hivi hizo Ajira zisimamiwe na Sekretarieti.

Mwisho mtoto wa maskini unataka kuomba Ajira TRA? 🤣🤣
Hili ndio nalipinga kwa nguvu zangu zote, na PSRS walifanikiwa sana kufanya sote kuwa na wigo mmoja wa competition katika Ajira.
 
Sio kweli! shuhuda za wadau mbali mbalibwaliopata ajira kupitia PSRS waeongea fairness yao
Kazi za wengi haziwezi kuwa zote za connection,hata huko TRA hizo kazi ni nyingi wengi tuu Watapata kawaida na wengine connection.

Ualomu hata bila Kupitia Sekretarieti ya ajira ni kazi za Watoto wa maskini,wakubwa huko hawapo
 
Sekretarieti ya ajira mmekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana wasio na connection kupata ajira.

Niukweli usio pingika Sekretariet ya Ajira mko fair sana katika kutafuta watumishi wa Umma, hakuna upendeleo wala vimemo, anaye ajiriwa kimsingi anakiwa amefanya vyema kwenywe Interview.

Kitendo cha kurudisha ajira hizo kwenye Taasisi husika kinarudisha nyuma jitihada za kuondosha ukabila katika Taasis mbalimbali Nchini.

Sekretarieti ya Ajira, tunaomba mrudishe ajira za TRA kwenu, ambao watoto wetu wameshaweka nyaraka mbali mbali katika mfumo wenu wa ajira za umma.
Serikali ya saa100 inakwenda kupeleka hasira ya tirampu kwa wananchi kusanya hadi kodi ya kichwa
 
SABABU KUU ZILIZOFANYA AJIRA ZA TRA KUSIMAMIWA NA WENYEWE
✅ Utumishi huzingatia tu ufaulu wa Written & Oral Interview. Mwenye Ufaulu mkubwa kapata kazi regadless his/her lack of taxation professional background
  • Inasemekana kuna malalamiko kuwa watu hawana taaluma za kodi au zinazohusiana na kodi kiasi cha kuwapelekea kufanya vibaya kazini. Kwa ufaulu wao wa interview hausababishi wao kuwa wataalamu wa sheria za kodi na kuwahudumia walipa kodi ipasavyo. Hii huleta utendaji kazi m-baya na makosa mengi kazini wakati unakuta waliosomea sheria za kodi wanaachwa kisa tu walifaulu kidogo. Anachukuliwa mwenye Bachelor of agricultural business anaachwa mwenye bachelor ya taxation.
  • Inasemekana wakufunzi wa hawa waajiriwa wa TRA wanapowapa Training waajiriwa wapya wanagundua wengi ni vilaza wa kodi kiasi cha wao kutumia nguvu kubwa ya kuanza kuwafundisha tena upya “What is taxation, How to compute tax, How many Tax acts & their implication”. Baada ya training huwa wanawapa mtihani kuwapima walichojifunza, kwa kiasi kikubwa hufeli huo mtihani sababu tu hawana good background za kodi.

✅ INASEMEKANA LAKINI Msiseme nimesema
 
Meiner Meinung nach sollte sich PSRS mit allen Regierungsämtern befassen, einschließlich halbstaatlicher Regierungsämter. Diese TRA-Beiträge sollten tatsächlich über PSRS beworben werden
Kwa maoni yangu, PSRS inapaswa kushughulikia ofisi zote za serikali, ikiwemo mashirika ya serikali yanayojiendesha yenyewe. Nafasi hizi za TRA zinapaswa kutangazwa kupitia PSRS.

-Kwa wasiojua hiyo lugha
 
Sekretarieti ya ajira mmekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana wasio na connection kupata ajira.

Niukweli usio pingika Sekretariet ya Ajira mko fair sana katika kutafuta watumishi wa Umma, hakuna upendeleo wala vimemo, anaye ajiriwa kimsingi anakiwa amefanya vyema kwenywe Interview.

Kitendo cha kurudisha ajira hizo kwenye Taasisi husika kinarudisha nyuma jitihada za kuondosha ukabila katika Taasis mbalimbali Nchini.

Sekretarieti ya Ajira, tunaomba mrudishe ajira za TRA kwenu, ambao watoto wetu wameshaweka nyaraka mbali mbali katika mfumo wenu wa ajira za umma.
Kwanini unafikiri ukabila tu, udini vipi. Kwani kamishna mkuu kabila gani. TRA yote ni kabila moja? Mambo mengine ni hisia tu.
 
NI KWELI KABISA PSRS WAPO FAIR MNO.

TRA WAPOKONYWE HUU MCHAKATO URUDI PSRS.
 
Sekretarieti ya ajira mmekuwa msaada mkubwa sana kwa vijana wasio na connection kupata ajira.

Niukweli usio pingika Sekretariet ya Ajira mko fair sana katika kutafuta watumishi wa Umma, hakuna upendeleo wala vimemo, anaye ajiriwa kimsingi anakiwa amefanya vyema kwenywe Interview.

Kitendo cha kurudisha ajira hizo kwenye Taasisi husika kinarudisha nyuma jitihada za kuondosha ukabila katika Taasis mbalimbali Nchini.

Sekretarieti ya Ajira, tunaomba mrudishe ajira za TRA kwenu, ambao watoto wetu wameshaweka nyaraka mbali mbali katika mfumo wenu wa ajira za umma.
We ni dogo wa 2000s, hizi taasisi ambazo ni autonomous na semi-autonomous zimekuwa zikiajiri na hakuna hayo mnayoyawaza.
 
Back
Top Bottom