M Mtulivu34 Member Joined Dec 22, 2024 Posts 16 Reaction score 62 Dec 22, 2024 #1 Nimeweka tangazo kama linavyosomeka namba zilizotumika ni namba za UVCCM dar es salaam . Inaonekana vijana walio uvccm watapewa kipaumbele kwenye hizo ajira Huu ni mchezo ambao haukabiliki haiwezekanu tukaungiza siasa kwenye Ajira . Kua UVCCM haiwezi kukupa uhakika was Ajira tunaomba haki itendeke Usaili ulisitishwa tangu October hadi Leo hakuna taarifa yeyote iliyotolewa
Nimeweka tangazo kama linavyosomeka namba zilizotumika ni namba za UVCCM dar es salaam . Inaonekana vijana walio uvccm watapewa kipaumbele kwenye hizo ajira Huu ni mchezo ambao haukabiliki haiwezekanu tukaungiza siasa kwenye Ajira . Kua UVCCM haiwezi kukupa uhakika was Ajira tunaomba haki itendeke Usaili ulisitishwa tangu October hadi Leo hakuna taarifa yeyote iliyotolewa