Sekretarieti ya ajira waoneeni watafuta ajira huruma

Sekretarieti ya ajira waoneeni watafuta ajira huruma

Inanambo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
4,039
Reaction score
2,840
Ni jambo la kusikitisha Watalaam wa Secretariat ya Ajira kuwanyima Watafuta Ajira fursa ya Usaili.

Eti huujaitwa kwenye Usaili (Shortlisted) kwa kuwa hujazibitisha Vyeti vyako kwa Wakili au Mwanasheria. Ingawa umekidhi vigezo vyote vya Sifa ya Ajira tajwa.

Hivi wanashindwa Jumuiya mtafuta Ajira kwenye Usaili aende mkononi na Vyeti vilivyozibitishwa?

Kumbukeni Watu tuliweka Vyeti tangu 2017 na hatukupata Ajira zenu. Mkitangaza Wengi tunaweka barua ya Maombi kusubiri wito wa Usaili.

Mnatuua bila Sababu.
 
Uki certify utapungukiwa Nini
Wangeniita baada ya Sifa kukidhi, niende Certified vyeti. Wangepungukiwa na ni Nini? Hiyo kweli ni kigezo Cha kumnyima mtu Ajira wakati ana Vyeti Genuine kabisa? Taasisi zinazojitegemea wanakuita Uende mkonnoni na Vyeti Og na Copy zilizokuwa Certified. Ajira Tz mnazingua.
 
Ni jambo la kusikitisha Watalaam wa Secretariat ya Ajira kuwanyima Watafuta Ajira fursa ya Usaili.

Eti huujaitwa kwenye Usaili (Shortlisted) kwa kuwa hujazibitisha Vyeti vyako kwa Wakili au Mwanasheria. Ingawa umekidhi vigezo vyote vya Sifa ya Ajira tajwa.

Hivi wanashindwa Jumuiya mtafuta Ajira kwenye Usaili aende mkononi na Vyeti vilivyozibitishwa?

Kumbukeni Watu tuliweka Vyeti tangu 2017 na hatukupata Ajira zenu. Mkitangaza Wengi tunaweka barua ya Maombi kusubiri wito wa Usaili.

Mnatuua bila Sababu.
Ukae ukijua kuwa KUJUANA kumesharudi katika ofisi za umma

Ofisi ya Rais sekretarieti ya Ajira wameanza tena upumbavu wa kuitana katika usaili kwa kujuana na kupeana kazi

Serikali ilitazame hili kwa umakini sana, awamu iliyopita hili lilipotea sasa linarudi.
 
Yaani Wameninyima Kazi TRA hivi. Vigezo vyote ninavyo eti kuhakiki Vyeti tu ambavyo ningependa navyo Siku ya Interview Wameninyima. Maafisa Utumishi gani hawa wasiojua Cheti kilichowekwa kwenye mtandao wa Serikali ni halali.!!?? Wakumbuke Vyeti
vili wekwa tangu tulipoanza Kukosa Ajira 2016 hadi Leo. Tutaendelea kuuza Mkaa tupate pesa ya Mitaji.
 
Wangeniita baada ya Sifa kukidhi, niende Certified vyeti. Wangepungukiwa na ni Nini? Hiyo kweli ni kigezo Cha kumnyima mtu Ajira wakati ana Vyeti Genuine kabisa? Taasisi zinazojitegemea wanakuita Uende mkonnoni na Vyeti Og na Copy zilizokuwa Certified. Ajira Tz mnazingua.

Kwa iyo ukiwa na vyeti vyenye muhuri wa wakili teyari inakua umepata ajira kupitia mifumo yao nauliza?
 
na mbaya zaidi vyeti vinaenda kuwa certified kwa mtu ambaye hana system au nyenzo ya kutambua kama cheti ni certified .....unachopata ni muhuri tu.....
 
Mkuu nakushauri nenda kacertifai tu kwani kuna garama gani tafuta ata mtu akufanyie mchongo mpe ata elfu kumi inatosha kufanya iyo kazi, alafu mm mwenyewe nilikuwa muanga kama wewe nilifata taratibu zote za ajira za utumishi nikafanya usaili nikapata kazi utumishi kingine naomba nikuakikishie utumishi ukitaka upate kazi jiandae vizur mimi wala sina mtu yoyote ninayemjua lkn mungu ni mwema nilipata kazi mkuu naomba fata taratibu zote mungu ni mwema
 
Mkuu nakushauri nenda kacertifai tu kwani kuna garama gani tafuta ata mtu akufanyie mchongo mpe ata elfu kumi inatosha kufanya iyo kazi, alafu mm mwenyewe nilikuwa muanga kama wewe nilifata taratibu zote za ajira za utumishi nikafanya usaili nikapata kazi utumishi kingine naomba nikuakikishie utumishi ukitaka upate kazi jiandae vizur mimi wala sina mtu yoyote ninayemjua lkn mungu ni mwema nilipata kazi mkuu naomba fata taratibu zote mungu ni mwema
KuCertify tayari na nilishaongeza nilivyocertify. Ila kazi TRA nilishakosa. Yaani kwa Utalaam wao sijaona Sababu ya kutoniita Interview kwa kosa hilo. Sii wangeniita na kutangaza niende na Vyeti vilivyohakikiwa? Miaka hii ya technology Kuna na ukosefu wa Ajira kuna Mhitimu anazubutu kuweka kitu Fake mtandao wa Serikali!!? Kigezo hii ni mbinu Yao kuwaondoa Wasaka Ajira wasiowataka.
 
na mbaya zaidi vyeti vinaenda kuwa certified kwa mtu ambaye hana system au nyenzo ya kutambua kama cheti ni certified .....unachopata ni muhuri tu.....
Waache tuu hawa Siku Moja tutakutana MaJobless wote.
 
Ukae ukijua kuwa KUJUANA kumesharudi katika ofisi za umma

Ofisi ya Rais sekretarieti ya Ajira wameanza tena upumbavu wa kuitana katika usaili kwa kujuana na kupeana kazi

Serikali ilitazame hili kwa umakini sana, awamu iliyopita hili lilipotea sasa linarudi.
Mitihani ya TRA ilikua inavuja na Magu alikua rais.
 
Yaani Wameninyima Kazi TRA hivi. Vigezo vyote ninavyo eti kuhakiki Vyeti tu ambavyo ningependa navyo Siku ya Interview Wameninyima. Maafisa Utumishi gani hawa wasiojua Cheti kilichowekwa kwenye mtandao wa Serikali ni halali.!!?? Wakumbuke Vyeti
vili wekwa tangu tulipoanza Kukosa Ajira 2016 hadi Leo. Tutaendelea kuuza Mkaa tupate pesa ya Mitaji.
Mwenzako mmoja humu JF alikua mbishi kama wewe kwny ku-certify vyeti walivyomnyoosha Mara 1 tu alienda ku-certify mwenyewe.Sasa we endelea na msimamo wako.
 
Ukae ukijua kuwa KUJUANA kumesharudi katika ofisi za umma

Ofisi ya Rais sekretarieti ya Ajira wameanza tena upumbavu wa kuitana katika usaili kwa kujuana na kupeana kazi

Serikali ilitazame hili kwa umakini sana, awamu iliyopita hili lilipotea sasa linarudi.
Heee kuna papers zilivuja za TRA then mtihani ukahairishwa nani alikuwa Rais?
 
KuCertify tayari na nilishaongeza nilivyocertify. Ila kazi TRA nilishakosa. Yaani kwa Utalaam wao sijaona Sababu ya kutoniita Interview kwa kosa hilo. Sii wangeniita na kutangaza niende na Vyeti vilivyohakikiwa? Miaka hii ya technology Kuna na ukosefu wa Ajira kuna Mhitimu anazubutu kuweka kitu Fake mtandao wa Serikali!!? Kigezo hii ni mbinu Yao kuwaondoa Wasaka Ajira wasiowataka.
Kwani unaongelea nafasi za TRA za lini?
 
Wangeniita baada ya Sifa kukidhi, niende Certified vyeti. Wangepungukiwa na ni Nini? Hiyo kweli ni kigezo Cha kumnyima mtu Ajira wakati ana Vyeti Genuine kabisa? Taasisi zinazojitegemea wanakuita Uende mkonnoni na Vyeti Og na Copy zilizokuwa Certified. Ajira Tz mnazingua.
Unadhani wewe tu ndo uhudumiwe bila kufuata utaratibu kisa tuu una vyeti og....waachwe waliohakiki vyeti vyao uajiriwe wewe. Inaonekana wewe utakuwa mtumishi mnonko sana....bora wameliona hilo mapema ili uendelee kula raha mtaani
 
KuCertify tayari na nilishaongeza nilivyocertify. Ila kazi TRA nilishakosa. Yaani kwa Utalaam wao sijaona Sababu ya kutoniita Interview kwa kosa hilo. Sii wangeniita na kutangaza niende na Vyeti vilivyohakikiwa? Miaka hii ya technology Kuna na ukosefu wa Ajira kuna Mhitimu anazubutu kuweka kitu Fake mtandao wa Serikali!!? Kigezo hii ni mbinu Yao kuwaondoa Wasaka Ajira wasiowataka.
Mkuu piga moyo konde kama umecertify tayali endelea kupambana ipo day utapata tu hakuna mkati mgumu mbele ya chai tuma maombi bila kuchoka usisahau kuomba mungu
 
Vigezo na Masharti kuzingatiwa...

Hio pia ni sehemu ya Interview Mkuu...

Ukiona hvo ujue umechujwa mwanzo kabisa,, kwanini sheria ibadilike kwako ikiwa wenzako wamefanya hivo...?? au una amini Ajira wanakuhitaji sana wewe kuliko wewe unavowahitaji wao....

Next time zingatia sheria,, Lawama hazitakupa Ajira bali utii wa taratibu utafanikisha hilo siku moja
 
Unadhani wewe tu ndo uhudumiwe bila kufuata utaratibu kisa tuu una vyeti og....waachwe waliohakiki vyeti vyao uajiriwe wewe. Inaonekana wewe utakuwa mtumishi mnonko sana....bora wameliona hilo mapema ili uendelee kula raha mtaani
Sawa.
 
Back
Top Bottom