Pre GE2025 Sekretarieti ya Mnyika yakata Majina ya Wagombea 'Wanaoonekana kuwa Kambi ya Lissu'

Pre GE2025 Sekretarieti ya Mnyika yakata Majina ya Wagombea 'Wanaoonekana kuwa Kambi ya Lissu'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.

Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.

Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.

Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
 
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.

Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwakajana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.

Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.

Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Dalili za kutapatapa baada ya kuona mtashindwa na makelele ya media mnayowatengebeza watu hayatawasaidia 😆🤪

Ila angeteua Wajumbe wake ndio mambo yangeenda sawa si ndio? 😆😆😁👇🔥

View: https://www.instagram.com/p/DFCe0WroJdp/?igsh=b2t0b2h6MjdsczJm
 
Wajumbe twende na mbowe hakika atatuvusha
Gho_SRJXkAE3VWL.jpeg
 
Kesho wajumbe wakimchagua Mbowe wajue kuwa damu za watu hawa zitakuwa juu ya vichwa vyao milele kwani Mbowe ameamua kuungana na wauaji wa hawa ndugu zetu
 

Attachments

  • FB_IMG_1737358302587.jpg
    FB_IMG_1737358302587.jpg
    43.6 KB · Views: 3
  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 3
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.

Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.

Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.

Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Punguza mahaba, sasa kazi ya vikao ni nini?
 
Sekretariat yenye watu walioteuliwa na Mbowe inafanya mambo ya ajabu ajabu kabisa.

Kama hata ndani ya kamati kuu wanaengua watu wenye misimamo isiyoyumba, maana yake ni kwamba wanataka waingie watu wa yes yes kwa mwenyekiti ambaye ni dhahiri keshanunuliwa na CCM. Hii kamati kuu haiwezi kuwa firm kwa mambo ambayo yanatishia maslahi ya CCM.
 
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.

Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.

Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.

Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Lengo lenu CCM ni kuichafua CDM, hamtafanikiwa.
 
Kesho wajumbe wakimchagua Mbowe wajue kuwa damu za watu hawa zitakuwa juu ya vichwa vyao milele kwani Mbowe ameamua kuungana na wauaji wa hawa ndugu zetu
Mmemdanganya Lisu na propaganda za mitandaoni badala ya kwenda field kuongea na wajumbe, angalia mnavyotia huruma sasa mmeshapigwa kabla ya uchaguzi na ukweli mnaujuwa.
 
Punguza mahaba, sasa kazi ya vikao ni nini?
Kazi ya vikao vya uteuzi siyo kukata majina ya watu bali ni kupitia vigezo vinavyotajwa na katiba na kuona kama vimetimizwa.

Lakini kilichofanyika hakikuwa na msingi wowote wa kukosa vigezo, ndiyo maana wameshindwa hata kutoa sababu kwa nini wamewaengua baadhi ya wagombea, zaidi ya kusema kuwa eti wagombea walikuwa wengi sana, na hivyo itachelewesha zoezi la uchaguzi kukamilika mapema. Sasa, kama una akili timamu, unaamini kuwa sababu hiyo ni ya msingi?
 
Kazi ya vikao vya uteuzi siyo kukata majina ya watu bali ni kupitia vigezo vinavyotajwa na katiba na kuona kama vimetimizwa.

Lakini kilichofanyika hakikuwa na msingi wowote wa kukosa vigezo, ndiyo maana wameshindwa hata kutoa sababu kwa nini wamewaengua baadhi ya wagombea, zaidi ya kusema kuwa eti wagombea walikuwa wengi sana, na hivyo itachelewesha zoezi la uchaguzi kukamilika mapema. Sasa, kama una akili timamu, unaamini kuwa sababu hiyo ni ya msingi?
Kwani waliopunguzwa ni hao wawili peke yao? Ingekuwa vizuri mngetaja idadi na majina ya waliokatwa.

Amandla...
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sekretariat yenye watu walioteuliwa na Mbowe inafanya mambo ya ajabu ajabu kabisa.

Kama hata ndani ya kamati kuu wanaengua watu wenye misimamo isiyoyumba, maana yake ni kwamba wanataka waingie watu wa yes yes kwa mwenyekiti ambaye ni dhahiri keshanunuliwa na CCM. Hii kamati kuu haiwezi kuwa firm kwa mambo ambayo yanatishia maslahi ya CCM.
Huyu Mbowe ni wa kuondolewa kabisa anakiua hiki chama. Sasa hautaki fighter kama Rose Mayemba unataka nani aingie kamati kuu
 
Back
Top Bottom