Pre GE2025 Sekretarieti ya Mnyika yakata Majina ya Wagombea 'Wanaoonekana kuwa Kambi ya Lissu'

Pre GE2025 Sekretarieti ya Mnyika yakata Majina ya Wagombea 'Wanaoonekana kuwa Kambi ya Lissu'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM waendelee kuwakata hawa wahuni, CCM kumbe wapo sawa, hawa CHADEMA kumbe ni washenzi sn wakipata dola watatunyanyasa wananchi
Leo umeongea pwent jamaaa Barikiwa sana kuna wkt tunapaswa kuwa saut ya watanzania milioni60 50 awa awajui chochote kuusu mitandao wala huuni wa vyama vya upinzani japo CCM wana aibu kidogo lkn wapinzani wanafanya aya wakiwa bado wapinzani je tukiwapa nchi!!!!
 
Leo umeongea pwent jamaaa Barikiwa sana kuna wkt tunapaswa kuwa saut ya watanzania milioni60 50 awa awajui chochote kuusu mitandao wala huuni wa vyama vya upinzani japo CCM wana aibu kidogo lkn wapinzani wanafanya aya wakiwa bado wapinzani je tukiwapa nchi!!!!
Hivi kweli ee. Pwent, ni mmea gani ? Huuni ni chakula gani ? Kiswahili au lugha gani ?
 
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.

Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.

Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.

Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Mfamaji hakosi kutapatapa
 
Mfamaji hakosi kutapatapa
Mtu mwenye akili ndogo kama wewe huwezi kuona hoja yoyote.
Huu uhuni wa kukata majina upo ccm tu na sasa unarithishwa cdm kupitia mbowe na vibaraka vyake
 
Leo umeongea pwent jamaaa Barikiwa sana kuna wkt tunapaswa kuwa saut ya watanzania milioni60 50 awa awajui chochote kuusu mitandao wala huuni wa vyama vya upinzani japo CCM wana aibu kidogo lkn wapinzani wanafanya aya wakiwa bado wapinzani je tukiwapa nchi!!!!
Jifunze kuandika. Mwandiko huonyesha ukubwa au udogo wa akili
 
Mtu mwenye akili ndogo kama wewe huwezi kuona hoja yoyote.
Huu uhuni wa kukata majina upo ccm tu na sasa unarithishwa cdm kupitia mbowe na vibaraka vyake
Wasipokatwa wao wakatwe kinanani?
 
SIku zote nasema CCM na CHADEMA na wapinzani wote ni kitu kimoja na wote ni waganga njaa tu. Yale. Ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyapigia kelele ndio hayo hayo wanayoyatenda kila leo
mboe kayaleta. Hayakuwepo. keshaiuza CHADEMA kwa adui
 
Leo umeongea pwent jamaaa Barikiwa sana kuna wkt tunapaswa kuwa saut ya watanzania milioni60 50 awa awajui chochote kuusu mitandao wala huuni wa vyama vya upinzani japo CCM wana aibu kidogo lkn wapinzani wanafanya aya wakiwa bado wapinzani je tukiwapa nchi!!!!
Hawa ni wajinga haswa
 
Back
Top Bottom